Mwanaume mzima unaendeshwa kihisia na mwanamke? Huo ni ujinga wa kiwango cha lami.

Mwanaume mzima unaendeshwa kihisia na mwanamke? Huo ni ujinga wa kiwango cha lami.

Ukiona mtu haumii na mapenzi tena
Ujue ashakua malaya
 
Kaa kwa kutulia hujapatwa bado... Kama wew hujapitia maswala haya huwezi elewa, binfasi siwadharau wala kuwashangaa that's life.
Ukiwa ulipatwa ulikuwa sehemu ya wajinga, wanaume wa ukweli hawakamatwi na vislay queen
 
Yanakera-ga kichizi hayo maboya,, janaume zima ety linalia lia kisa mapenzi kumpafu kabisa...mwanaume design hiyo hata ushikaji sitakagi kabisa, mwanaume lazima uwe strong bhana.
 
Mkuu mwanamke kaumbwa na ngozi lain , macho mazuri ,shep nzur , sauti nyororo ,ili atunase kihisia , wewe unataka tusinaswe , ebu tushauri tuendeshwe kihisia na jinsia gan?
 
Back
Top Bottom