Mwanaume ndo huyu

Hahahaaa. Msg sent lol.

Nimecheka hiyo ya kutoa tyre walio wengi wanajua kuendesha tu na huwa ikifikia hiyo hali mpaka wawapigie simu mafundi wao waje kuwatolea na hata wale wanaoweza huwa hawatakagi kuchafuka.

Hatari sana Mbiti.
 
Hahahaaa. Msg sent lol.

Nimecheka hiyo ya kutoa tyre walio wengi wanajua kuendesha tu na huwa ikifikia hiyo hali mpaka wawapigie simu mafundi wao waje kuwatolea na hata wale wanaoweza huwa hawatakagi kuchafuka.

Hatari sana Mbiti.
Naona mmeanza kutusema....!

Sisi hatutajibu. Ila tunamwachina yeye aliye juu
 
ha
hamueleweki mbona wa hivi wabeba mizigo wamejaa ubungo bus stand wakiwasimamisha mnakimbia eti wananuka vikwapa mmetuchosha na kutokijatambua kwenu..Mnashinda kukimbilia wenye magari leo mnasema mwataka wakata fensi na wapiga jeki ahahahhaaa mpaka mjitambue kiama kimefika
 
Naona mmeanza kutusema....!

Sisi hatutajibu. Ila tunamwachina yeye aliye juu
Hahhaaaa. Jirani yaani leo tunawasema kiutu uzima sio zile nyuzi za sijui mna vinaniliu [emoji85] [emoji85].

Leo ni vitu halisi kabisa ambavyo mlio wengi hamvitilii maanani zaidi ya kutegemea wasaidizi wa kiume.


Hahahaaaa. Tujibuni bana jirani ili tujue ni nini shida?
 


hhhaha wameelewa wanaume wenzako
 
Kama nimemuelewa vizuri Mbiti anasemea wale wababa ndani ya nyumba yaani ana kazi nyingine kabisa ila kinyumbani nyumbani haitokei hata siku moja akawahi ona nyasi au fensi imekua akajiamulia kufanya kazi ya kuziweka sawa.

Ni mfano ana mifugo basi akaamua hata kuiwekea nyasi kidogo.

CC MBITIYAZA uje nikosoa kama nami nimeelewa sivyo.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…