Mwanaume ndo huyu

Mwanaume ndo huyu

Aiseee nimewaza kwa picha ulivyokua unaandika ulikua unafikiria nini!
Nimejikuta nacheka tu!
Tuna shida sana wanaume

wenye bongo wameelewa !au ulitaka nije na nyimbo zenu za vibamia?
 
YAan hali inatisha !mie serious napenda men wa aina hii!yaan ht nje mti uanguke na mvua hujali sana...unajua mume atafanya walau kukata matawi !jaman hapa tuelewane tu!masuala ya kuwa na pesa ni kitu ingne !salute kwako Rebeca 83
Mbitiyaza
 
Hahahaaa. Msg sent lol.

Nimecheka hiyo ya kutoa tyre walio wengi wanajua kuendesha tu na huwa ikifikia hiyo hali mpaka wawapigie simu mafundi wao waje kuwatolea na hata wale wanaoweza huwa hawatakagi kuchafuka.

Hatari sana Mbiti.
Ni vizuri kuheshimu kaz za watu dada yangu.

Sasa mim nkifanya kaz zote si watu watakosa ajira.
 
Back
Top Bottom