Mwanaume ndo huyu

Mwanaume ndo huyu

Hahahaaa. Msg sent lol.

Nimecheka hiyo ya kutoa tyre walio wengi wanajua kuendesha tu na huwa ikifikia hiyo hali mpaka wawapigie simu mafundi wao waje kuwatolea na hata wale wanaoweza huwa hawatakagi kuchafuka.

Hatari sana Mbiti.
 
Hahahaaa. Msg sent lol.

Nimecheka hiyo ya kutoa tyre walio wengi wanajua kuendesha tu na huwa ikifikia hiyo hali mpaka wawapigie simu mafundi wao waje kuwatolea na hata wale wanaoweza huwa hawatakagi kuchafuka.

Hatari sana Mbiti.
Naona mmeanza kutusema....!

Sisi hatutajibu. Ila tunamwachina yeye aliye juu
 
ha
  • Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
  • Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
  • Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga jeki kutoa tyre(mfano tu )
  • Raha sana kuona mwanaume anahudumia mifugo ile ameinama na kaboxer kake kanaonekana ka kiume(awwww) ...Yaan ht mzuka wa kuingia jikoni na kanga moko kumpikia unakuja automatic
  • Kuna raha ya ajabu kumuona mwanaume anakata fence ya kuzunguka nyumba yake kale kajasho anakosweat huwa kichocheo ka kupewa game la kimafia kale kajasho ni BOOSTER KUBWA
La mwisho mwanaume halisia ni yule anaejua jiografia ya mwanamke... yaan yule anaejua nn anatakiwa kufanya kwenye mwili wa mwanamke(hapa naomba nitie msisitizo kwel kweli)
............sio mwanaume hata kukata muhindi wa kuchoma unashindwa,kubeba kilo 20 za mahndi wewe liulimi lote njee,
POPOTE ULIPO MWANAUME WA AINA HII SHOUT IT OUT TO YOU




UNSPECIFIED

@akiliZaDesperado
hamueleweki mbona wa hivi wabeba mizigo wamejaa ubungo bus stand wakiwasimamisha mnakimbia eti wananuka vikwapa mmetuchosha na kutokijatambua kwenu..Mnashinda kukimbilia wenye magari leo mnasema mwataka wakata fensi na wapiga jeki ahahahhaaa mpaka mjitambue kiama kimefika
 
Naona mmeanza kutusema....!

Sisi hatutajibu. Ila tunamwachina yeye aliye juu
Hahhaaaa. Jirani yaani leo tunawasema kiutu uzima sio zile nyuzi za sijui mna vinaniliu [emoji85] [emoji85].

Leo ni vitu halisi kabisa ambavyo mlio wengi hamvitilii maanani zaidi ya kutegemea wasaidizi wa kiume.


Hahahaaaa. Tujibuni bana jirani ili tujue ni nini shida?
 
ha

hamueleweki mbona wa hivi wabeba mizigo wamejaa ubungo bus stand wakiwasimamisha mnakimbia eti wananuka vikwapa mmetuchosha na kutokijatambua kwenu..Mnashinda kukimbilia wenye magari leo mnasema mwataka wakata fensi na wapiga jeki ahahahhaaa mpaka mjitambue kiama kimefika


hhhaha wameelewa wanaume wenzako
 
ha

hamueleweki mbona wa hivi wabeba mizigo wamejaa ubungo bus stand wakiwasimamisha mnakimbia eti wananuka vikwapa mmetuchosha na kutokijatambua kwenu..Mnashinda kukimbilia wenye magari leo mnasema mwataka wakata fensi na wapiga jeki ahahahhaaa mpaka mjitambue kiama kimefika
Kama nimemuelewa vizuri Mbiti anasemea wale wababa ndani ya nyumba yaani ana kazi nyingine kabisa ila kinyumbani nyumbani haitokei hata siku moja akawahi ona nyasi au fensi imekua akajiamulia kufanya kazi ya kuziweka sawa.

Ni mfano ana mifugo basi akaamua hata kuiwekea nyasi kidogo.

CC MBITIYAZA uje nikosoa kama nami nimeelewa sivyo.
 
Kama nimemuelewa vizuri Mbiti anasemea wale wababa ndani ya nyumba yaani ana kazi nyingine kabisa ila kinyumbani nyumbani haitokei hata siku moja akawahi ona nyasi au fensi imekua akajiamulia kufanya kazi ya kuziweka sawa.

Ni mfano ana mifugo basi akaamua hata kuiwekea nyasi kidogo.

CC MBITIYAZA uje nikosoa kama nami nimeelewa sivyo.
 
tapatalk_1520005060601.png
tapatalk_1520005063586.png
 
Back
Top Bottom