Mwanaume ndo huyu

Mwanaume ndo huyu

MBITIYAZA

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
14,947
Reaction score
26,074
  • Anayejielewa kuwa ni mwanaume sio wa kuonesha misuli kujionesha yeye mwanaume
  • Awe yule anayefanya kazi za kiume kwelikweli hata kama ni Boss
  • Raha sana kumuona mwanaume ameinama mvunguni au anapiga jeki kutoa tyre(mfano tu )
  • Raha sana kuona mwanaume anahudumia mifugo ile ameinama na kaboxer kake kanaonekana ka kiume(awwww) ...Yaan ht mzuka wa kuingia jikoni na kanga moko kumpikia unakuja automatic
  • Kuna raha ya ajabu kumuona mwanaume anakata fence ya kuzunguka nyumba yake kale kajasho anakosweat huwa kichocheo ka kupewa game la kimafia kale kajasho ni BOOSTER KUBWA
La mwisho mwanaume halisia ni yule anaejua jiografia ya mwanamke... yaan yule anaejua nn anatakiwa kufanya kwenye mwili wa mwanamke(hapa naomba nitie msisitizo kwel kweli)
............sio mwanaume hata kukata muhindi wa kuchoma unashindwa,kubeba kilo 20 za mahndi wewe liulimi lote njee,
POPOTE ULIPO MWANAUME WA AINA HII SHOUT IT OUT TO YOU




UNSPECIFIED

@akiliZaDesperado
 
Wanawake bwana!
Eti raha sana kuona jasho linatiririka Mara sijui boxer ionekane.....

Watu tunatiririsha jasho huku mashambani ukirudi nyumbani hata hamu ya kugegeda huna!
Kumbe nyi ndo mnafurahi....

yaan raha sanaa
 
Back
Top Bottom