Mwanaume Rijali anaemuogopa Allah hawezi kuwa na mwanamke mmoja

Mwanaume Rijali anaemuogopa Allah hawezi kuwa na mwanamke mmoja

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Imekuja na kutoka kama ilivo
 

Attachments

  • 620DF75C-65E0-4BB2-AC0B-A7F911C2AAD6.jpeg
    620DF75C-65E0-4BB2-AC0B-A7F911C2AAD6.jpeg
    359.8 KB · Views: 2
Uyo mwanamke aliyeongea ayo maneno anatakiwa aisome sana dini na kuielewa siyo lazima kwenye Uislamu kuowa mwanamke zaidi ya mmoja..kuna sheria na taratibu zake ambazo ni lazima uwe nazo ili uweze kutimiza ilo jambo la kuowa mke zaidi ya mmoja..ukishindwa utaratibu uliyowekwa japo mmoja tayari unakuwa uwezi kuowa mke zaidi ya mmoja cha kwanza kabsa ni uadilifu..apa ndio kwenye mtihani mkubwa kwa walio wengi..yani unachomnunulia uyu na mwingine nae ni ivyo ivyo ..
 
Back
Top Bottom