Jamaa mzembe Sana,Mi nimeshangaa Sana, mwanamme mzima unamkimbia mkeo utasema Teja kaona pira ,Ona Sasa kamuua mchepuko wa watu.Mara nyingi wanaume wa Aina hii wamelishwa madawa mabaya ya limbwata hawana usemi mbele ya wake.Mbona pale ilikuwa simple tu,""angemgeuzia tu kibao kaja kutafuta Nini hotelini bila kumwambia,ana miadi na Nani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeye ndukii
Na hawakamatwiiii!huyu kavamia yasomuhusuJamaa mzembe Sana,
Itakua ndo Mara yake ya kwanza kuchepuka, kwanza hamna wanaume majasiri Kama wachepukaji, wameshajiandaa kwa lolote lile[emoji4]
Kwani mkuu kuchepuka lazima utembee na mke wa mtu?Binafs sijawahi tembea na MKE wa mtu
Ila huwa nasema endapo nimefumaniwa,
Niko cornered sn na sioni pa kutokea, uyo mfumaniaji Kama kaziba Njia ajiandae kula ngumi kubwa ya uso au chochote kilichokaribu nimpasue usoni nitoroke eneo la tukio.
Kama Kuna la KUONGEA,
Tutajua uko uko polisi au mahakamani. Tutayazungumza, ntalipa fidia yataisha[emoji4]
Aisee,
BORA LAWAMA, KULIKO FEDHEA ya FUMANIZI[emoji1]
Kwani nani kafumaniwa mbona sielewi?Jamaa mzembe Sana,
Itakua ndo Mara yake ya kwanza kuchepuka, kwanza hamna wanaume majasiri Kama wachepukaji, wameshajiandaa kwa lolote lile[emoji4]
Uko sahihi kabisa mkuu,kwanza mwanaume hafumaniwagi, sanasana anakutwa tu na mwanamke mwingine. Mwanamke ndio anafumaniwa kwa sababu yeye hatakiwi kuwa na mwanaume tofauti na aliyenae.Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuz jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao,barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta uko uko aliko.
Kila Mara kwny vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaid:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.
Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpk anakufumania uyo anakupenda sana na hayuko tayar kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.
Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa uyo Mchepuko wako.
Unachotakiwa KUFANYA Ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kias ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.
NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kias vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaid.
Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.
BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI
Nawasilisha[emoji1431]
Safi sana, hayo ndiyo matendo ya kiume.Kwanza mimi hua sikubali kosa, nakana kosa mbele ya macho yako, ukileta vilio makofi yanakuhusu na nakuundia kesi hapo hapo na home sirudi nahama tu hotel simu sikupigii hapo utatia adabu vizuri
Hatua za kinidhamu zishachukuliwa dhidi yake, tumemsimamisha uanachama kwa muda[emoji4]Uko sahihi kabisa mkuu,kwanza mwanaume hafumaniwagi, sanasana anakutwa tu na mwanamke mwingine. Mwanamke ndio anafumaniwa kwa sababu yeye hatakiwi kuwa na mwanaume tofauti na aliyenae.
Yule mpuuzi katudhalilisha sana sisi wenye mlengo wa kushoto.
Mwanaume anayejielewa na mzoefu hatabishana na wewe kwenye hili.Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuz jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao,barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta uko uko aliko.
Kila Mara kwny vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaid:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.
Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpk anakufumania uyo anakupenda sana na hayuko tayar kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.
Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa uyo Mchepuko wako.
Unachotakiwa KUFANYA Ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kias ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.
NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kias vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaid.
Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.
BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI
Nawasilisha[emoji1431]
Tunaongelea uhalisia wewe unaongelea hekaya hapa, tangu lini mwanaume akaoa komandoo ikiwa hakuna komandoo mwanamke, then hao wanajeshi unaozungumzia nao ni binadam tu nje ya magwanda yao na tunaishi nao, nenda Makambako KJ pale kaulizie Mama Abdul mke wa Hassani ndio mke wangu mimi na hana maajabu yoyote kwenye ukorofi na makofi anakula kama kawa.Hujaoa wanawake wanajeshi au makomandoo au usalama wa taifa wewe mleta mada huombi hata maji ya kunywa unaenda moja kwa moja nyumba ya milele ukifuminiwa
mambo yatajiset yenyewe kikubwa mguu niokoeSasa mwanaume Ukikimbia uyo Mchepuko wako unamuachia Nani?
Umenikumbusha mbali kidogo. Wife alimjua manzi ambae nilikuwa nachepuka. Akafanya umafia akamteka akiwa na njemba kama tatu hivi. Wakamtaiti yule ikiwemo na kumchapa sana.Usalama wa Mchepuko
Ni kipaumbele namba One unapofumaniwa maana yeye ndio target ya fumanizi.
Tumeshuhudia Sana Mwanaume ukilegea,eti unakimbia unaacha msala mkubwa nyuma.
Atachaniwa nguo zake zote, kutemewa mate na kutembezwa barabarani uchi na vichapo kibao chungu mzima[emoji4]