Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Mi nimeshangaa Sana, mwanamme mzima unamkimbia mkeo utasema Teja kaona pira ,Ona Sasa kamuua mchepuko wa watu.Mara nyingi wanaume wa Aina hii wamelishwa madawa mabaya ya limbwata hawana usemi mbele ya wake.Mbona pale ilikuwa simple tu,""angemgeuzia tu kibao kaja kutafuta Nini hotelini bila kumwambia,ana miadi na Nani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeye ndukii
Jamaa mzembe Sana,
Itakua ndo Mara yake ya kwanza kuchepuka, kwanza hamna wanaume majasiri Kama wachepukaji, wameshajiandaa kwa lolote lile[emoji4]
 
Binafs sijawahi tembea na MKE wa mtu

Ila huwa nasema endapo nimefumaniwa,
Niko cornered sn na sioni pa kutokea, uyo mfumaniaji Kama kaziba Njia ajiandae kula ngumi kubwa ya uso au chochote kilichokaribu nimpasue usoni nitoroke eneo la tukio.

Kama Kuna la KUONGEA,
Tutajua uko uko polisi au mahakamani. Tutayazungumza, ntalipa fidia yataisha[emoji4]

Aisee,
BORA LAWAMA, KULIKO FEDHEA ya FUMANIZI[emoji1]
Kwani mkuu kuchepuka lazima utembee na mke wa mtu?
 
Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuz jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao,barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta uko uko aliko.

Kila Mara kwny vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaid:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.

Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpk anakufumania uyo anakupenda sana na hayuko tayar kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.

Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa uyo Mchepuko wako.

Unachotakiwa KUFANYA Ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kias ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.

NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kias vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaid.

Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.

BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI

Nawasilisha[emoji1431]
Uko sahihi kabisa mkuu,kwanza mwanaume hafumaniwagi, sanasana anakutwa tu na mwanamke mwingine. Mwanamke ndio anafumaniwa kwa sababu yeye hatakiwi kuwa na mwanaume tofauti na aliyenae.


Yule mpuuzi katudhalilisha sana sisi wenye mlengo wa kushoto.
 
Kwanza mimi hua sikubali kosa, nakana kosa mbele ya macho yako, ukileta vilio makofi yanakuhusu na nakuundia kesi hapo hapo na home sirudi nahama tu hotel simu sikupigii hapo utatia adabu vizuri
Safi sana, hayo ndiyo matendo ya kiume.
 
Uko sahihi kabisa mkuu,kwanza mwanaume hafumaniwagi, sanasana anakutwa tu na mwanamke mwingine. Mwanamke ndio anafumaniwa kwa sababu yeye hatakiwi kuwa na mwanaume tofauti na aliyenae.


Yule mpuuzi katudhalilisha sana sisi wenye mlengo wa kushoto.
Hatua za kinidhamu zishachukuliwa dhidi yake, tumemsimamisha uanachama kwa muda[emoji4]
 
Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuz jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao,barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta uko uko aliko.

Kila Mara kwny vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaid:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.

Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpk anakufumania uyo anakupenda sana na hayuko tayar kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.

Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa uyo Mchepuko wako.

Unachotakiwa KUFANYA Ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kias ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.

NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kias vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaid.

Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.

BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI

Nawasilisha[emoji1431]
Mwanaume anayejielewa na mzoefu hatabishana na wewe kwenye hili.
 
Hujaoa wanawake wanajeshi au makomandoo au usalama wa taifa wewe mleta mada huombi hata maji ya kunywa unaenda moja kwa moja nyumba ya milele ukifuminiwa anakumaliza sekunde
 
Kwahiyo DeepPond wewe ndiyo jabali kuu la kuchepuka si ndiyo? Wewe ni mchepukaji sugu, uliyeshindikana Afrika Mashariki na kati. Hadi unatoa mbinu zote.
 
Me nilishafumaniwa halafu kwenye pipiri_papara,manzi si akawahi kisu...aiseee
 
Hujaoa wanawake wanajeshi au makomandoo au usalama wa taifa wewe mleta mada huombi hata maji ya kunywa unaenda moja kwa moja nyumba ya milele ukifuminiwa
Tunaongelea uhalisia wewe unaongelea hekaya hapa, tangu lini mwanaume akaoa komandoo ikiwa hakuna komandoo mwanamke, then hao wanajeshi unaozungumzia nao ni binadam tu nje ya magwanda yao na tunaishi nao, nenda Makambako KJ pale kaulizie Mama Abdul mke wa Hassani ndio mke wangu mimi na hana maajabu yoyote kwenye ukorofi na makofi anakula kama kawa.
 
Hujaoa wanawake wanajeshi au makomandoo au usalama wa taifa wewe mleta mada huombi hata maji ya kunywa unaenda moja kwa moja nyumba ya milele ukifuminiwa anakumaliza sekunde
Kwaiyo wee unaogopa kufa?[emoji1]
 
Usalama wa Mchepuko
Ni kipaumbele namba One unapofumaniwa maana yeye ndio target ya fumanizi.

Tumeshuhudia Sana Mwanaume ukilegea,eti unakimbia unaacha msala mkubwa nyuma.

Atachaniwa nguo zake zote, kutemewa mate na kutembezwa barabarani uchi na vichapo kibao chungu mzima[emoji4]
Umenikumbusha mbali kidogo. Wife alimjua manzi ambae nilikuwa nachepuka. Akafanya umafia akamteka akiwa na njemba kama tatu hivi. Wakamtaiti yule ikiwemo na kumchapa sana.

Then wakapekua simu ya manzi wakapata ushahidi wa kutosha maana yule manzi alikuwa hafuti maujinga tuliyokuwa tunachati.

Badae jamaa mmoja wao akanipigia simu kwa namba ya yule manzi kwamba amepata ajali ya boda so niende nikamsaidie yule manzi. Mm nilikuwa mitungi nikawaambia wampe manzi niongee nae. Wakanipa sasa yule manzi akawa haongei ila analia tuu.

Wakanielekeza nikaenda hiyo mitaa. Kufika namkuta wife yale maeneo kwa nje. Nikajua leo kimenuka. Wife akanambia njoo huku umuone mchepuko wako.

Nikaingia ndani namkuta yule manzi kataitiwa na jamaa wawili, wakijifanya ni maaskari. Wife ndo kubwa la maadui akitoa amri wale miamba wanatekeleza, dah.

Kifupi pale pale nikawageuzia kibao hawakuamini. Kesi zilikuwa kama ifuatavyo.

1. Mna kesi kubwa ya kuteka mwanamke na kutishia usalama wake.
2. Hata kama ni mtuhumiwa ilibidi ajulishwe aende mwenyewe polisi au kama kukamatwa akamatwe na afande mwanamke tena mwenye RB.
3. Mna kesi kubwa ya kuingilia privacy ya mtu kwa kupekua mawasiliano yake kinguvu bila ridhaa yake.
4. Mna kesi ya kuharibu mali ya mtu maana mmemwaribia simu yake na kumpora vitu vya thamani kama vile fedha na mikufu ya thamani. Hii ya fedha na mikufu niliizusha tuu kuzidi kuwavuruga.
5. Mna kesi kubwa ya kunipotezea muda wangu nimeacha shughuli zangu kwa ajili ya ujinga wenu, itabidi wote mfidie hasara niliepoteza maani kwa muda ule niliacha dili la pesa.

Na nikawaambie wanisubiri hapo hapo naenda kituo cha jirani kuwachukua polisi ili waje wawakamate watuhumiwa.

Na nikamwambia yule demu mbele yao kwamba polisi wakifika pale aseme wamemteka pale kwa siku mbili na wamempora vitu vyake, mm nitakuwa shahidi yake.

Wale jamaa wswili waliondoka bila kuaga. Badae nikamwambia yule manzi aondoke. Then nikamwambia wife kama unabaki hapo endelea kubaki mm narudi kwenye mishe zangu tutakutana usiku nyumbani. Nikasepa.
 
Back
Top Bottom