Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

Mwanaume Ukifumaniwa unachepuka, usikimbie

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuzi jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao, barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta huko huko aliko.

Kila Mara kwenye vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaidi:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.

Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpaka anakufumania huyo anakupenda sana na hayuko tayari kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.

Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa huyo Mchepuko wako.

Unachotakiwa KUFANYA ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kiasi ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.

NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kiasi vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaidi.

Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.

BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI

Nawasilisha[emoji1431]
 
Kwanza mimi hua sikubali kosa, nakana kosa mbele ya macho yako, ukileta vilio makofi yanakuhusu na nakuundia kesi hapo hapo na home sirudi nahama tu hotel simu sikupigii hapo utatia adabu vizuri
Suala la fumanizi Ni timing,
Ukiwa mnyonge unaumia na kudhalilika
Kosa kubwa Sana kuruhusu mfumaniajj achukue point 3 muhimu eneo la fumanizi
 
......NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kias vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaid.

Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.

BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI

Nawasilisha[emoji1431]
Fanya yoote lakjni usiinue mkono kumpiga mwanamke....
 
Mfumo wa kiafrica ni mfumo wa polygamy na ndio maana waarabu nao wame adopt mfumo huo huo.
Kwa hiyo hakuna aibu kwa mwanaume kukutwa na mwanamke mwingine ikiwa huyo mwanamke sio mke wa mtu mwingine.
Ila kulingana na dini yetu ya kikristo... plz and so please... maandiko yanasema hivi 'viuno vyenu na viwe vimefungwa na taa zenu ziwe zinawaka'...
Screenshot_20230428-111830.jpg
 
Umefumaniwa na mke au na mwenye mke , kama ni mke wako Sawa , kama ni mwenye mke kubaki umesimama kama mlingoti ni ufala
Binafs sijawahi tembea na MKE wa mtu

Ila huwa nasema endapo nimefumaniwa,
Niko cornered sn na sioni pa kutokea, uyo mfumaniaji Kama kaziba Njia ajiandae kula ngumi kubwa ya uso au chochote kilichokaribu nimpasue usoni nitoroke eneo la tukio.

Kama Kuna la KUONGEA,
Tutajua uko uko polisi au mahakamani. Tutayazungumza, ntalipa fidia yataisha[emoji4]

Aisee,
BORA LAWAMA, KULIKO FEDHEA ya FUMANIZI[emoji1]
 
Mfumo wa kiafrica ni mfumo wa polygamy na ndio maana waarabu nao wame adopt mfumo huo huo.
Kwa hiyo hakuna aibu kwa mwanaume kukutwa na mwanamke mwingine ikiwa huyo mwanamke sio mke wa mtu mwingine.
Ila kulingana na dini yetu ya kikristo... plz and so please... maandiko yanasema hivi 'viuno vyenu na viwe vimefungwa na taa zenu ziwe zinawaka'...
View attachment 2602188
Viuno viwe na taa,maana ake nn mkuu[emoji1]
 
Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuz jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao,barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta uko uko aliko.

Kila Mara kwny vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaid:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.

Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpk anakufumania uyo anakupenda sana na hayuko tayar kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.

Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa uyo Mchepuko wako.

Unachotakiwa KUFANYA Ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kias ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.

NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kias vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaid.

Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.

BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI

Nawasilisha[emoji1431]


Yaani kuna waume halafu kuna waume-wanaume, my bro DeepPond wewe kiboko😁

Kwa nguvu zote nitaendelea kusema zinaa haikubaliki

Na siku zote nitaendelea kusema mwanaume anatakiwa kuwa na misimamo, anatakiwa kuwa mkali kwenye mambo ya msingi haswa yanahusu utu wake na familia yake ikiwa ni pamoja na kutoruhusu mtu yoyote ndani ya nyumba yake kufanya jambo litakaloaibisha familia yake.

Sitasema kwamba ni sawa kwa mwanaume kuchepuka, ila pia nitasema fumanizi la aibu sio busara wala haitokaa iwe zuio kwa mwanaume kuchepuka.

Mimi kama mwanamke naamini siku nikiamua kufanya fumanizi la aibu kwa mume wangu ni kwamba mapenzi yameisha siwezi tena hata kuishi nae.

Zipo mbinu nyingi za kudeal na hizi changamoto lakini hili la kumvua nguo mume na kumuaibisha mbele za watu halafu ukaendelea kuishi nae yeye atadharulika lakini wewe mwanamke utaonekana janamke jinga kuliko.

Kwa mwanaume mwenye akili za aina yake ukishamfumania hivyo mapenzi yameisha....
 
Back
Top Bottom