DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Wakuu,
Hebu tuachane na story za yule mpuuzi jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao, barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta huko huko aliko.
Kila Mara kwenye vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaidi:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.
Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpaka anakufumania huyo anakupenda sana na hayuko tayari kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.
Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa huyo Mchepuko wako.
Unachotakiwa KUFANYA ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kiasi ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.
NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kiasi vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaidi.
Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.
BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI
Nawasilisha[emoji1431]
Hebu tuachane na story za yule mpuuzi jana katutia aibu sababu ya utoro wake kutohudhuria vikao, barua yake ya kumfuta uanachama iko tayari, itamkuta huko huko aliko.
Kila Mara kwenye vikao vyetu tunasema, Leo narudia,Tena kwa msisitizo zaidi:-
Mwanaume ukishakua mchepukaji lazima uwe na plan B unatoka vipi siku Ukifumaniwa unachepuka.
Sio unaanza kuweweseka, kubabaika na kuanza kujieleza Sana ukiomba misamaha kisa hofu ya kuachwa.
Mwanamke mpaka anakufumania huyo anakupenda sana na hayuko tayari kukuacha. Lengo la kukufumania Ni kumkomesha uyo mchepuko wako atie adabu na sio Wewe.
Sasa unapojishusha unampa mfumaniaji confidence ya kukufanyia atakavyo eneo la famanizi ikiwemo kukudhalilisha na kuhatarisha usalama wako pamoja na usalama wa huyo Mchepuko wako.
Unachotakiwa KUFANYA ni kujiamini, kuuvaa mfumo dume na kutumia UBABE kiasi ulioambatana na mkwara wa akili zaidi kutoroka eneo la fumanizi salama salmini mbele ya mfumaniaji kuepusha kudhalilika, madhara kwako na Mchepuko wako.
NB: Ukiona analeta usumbufu sana hata vibao kiasi vinaweza kumhusu shavuni ili mradi utoke eneo la tukio salama salmin na usidhalilike Zaidi.
Kama Kuna la kujadili, sio eneo la fumanizi, Basi mtakutana uko uko nyumbani. Na uko utaratibu Ni ule TU, KUKANA SHTAKA 100% , hata Kama ulikutwa LIVE mapajani unafanya mapenzi.
BINAFSI,
MWANAMKE YEYOTE ASIJE THUBUTU KUNIFUMANIA, WALIONIFUMANIA WOTE WAMEPATA MATOKEO TOFAUTI NA WALIYOTARAJIA ENEO LA FUMANIZI
Nawasilisha[emoji1431]