Mwanaume, Ukiona mwanamke wako kaanza kukaa mbali nawe, fanya hivi…

Mwanaume, Ukiona mwanamke wako kaanza kukaa mbali nawe, fanya hivi…

Ukifanikiwa kudhibiti hisia zako kuhusu tendo Kwa mwanamke wako umeshinda vita kubwa sana ambayo wanaitumia Sana kututawala!ukishinda Hilo Hana kingine Cha kukutisha!
 
yani mimi nikae tuanze kuviziana kama fisi anayesubiri mkono udondoke ukianza kunionesha mapicha picha imekula kwako namaanisha niko kama kioo ukicheka nacheka ukinuna nanuna maisha yaniumize kichwa na mtu tuliekutana ukubwani naye anichanganye haiwezekani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani kmetokea nini?? Huu uzi wa nne unaongelea kuwalipizia wanawake.!! 🤣🤣🤣
Si tumekubaliana mapenzi tuyachukulie km burudani, muziki ukiisha kila mmoja na njia yake.😜
Hujambo? Unawajibika kuni dm with in 24 hrs
 
yani mimi nikae tuanze kuviziana kama fisi anayesubiri mkono udondoke ukianza kunionesha mapicha picha imekula kwako namaanisha niko kama kioo ukicheka nacheka ukinuna nanuna maisha yaniumize kichwa na mtu tuliekutana ukubwani naye anichanganye haiwezekani!
tatz copy tunazofotoa
 
Sitaki kukosea ila kuzaliwa mwanamke ni hasara kubwa mno! Hv wanawake wanajichukuliaje?? Aisee viumbe dhaifu,vyombo vya starehe au??
mkuu ukiandika kitu kuhusu mwanamke kumbuka una mama kwahyo tuseme mama yako ni dhaifu na ni chombo cha starehe halafu pia mama yako ni hasara......
usidharau sana wakati angeamua kubana mapaja leo usingekua na kibri ya kuandika ujinga.

na wapo wanawake wana uwezo mkubwa sana wa akili fedha na hata ushawishi kwenye jamii sasa nikifikiri hivyo na ww nakuweka kwenye kundi la wanawake wasio jielewa
 
mkuu ukiandika kitu kuhusu mwananke kumbuka una mama kwahyo tuseme mama yako ni dhaifu na ni chombo cha starehe alafu pia mama yako ni hasara......
usidharau sana wakati angeamua kubana mapaja leo usingekua na kibri ya kuandika ujinga.

na wapo wanawake wana uwezo mkubwa sana wa akili fedha na hata ushawishi kwenye jamii sasa nikifikiri hivyo na ww nakuweka kwenye kundi la wanawake wasio jielewa
Tulia nilitanguliza samahani likafuata swali! Tulia mama..
 
mkuu ukiandika kitu kuhusu mwananke kumbuka una mama kwahyo tuseme mama yako ni dhaifu na ni chombo cha starehe alafu pia mama yako ni hasara......
usidharau sana wakati angeamua kubana mapaja leo usingekua na kibri ya kuandika ujinga.

na wapo wanawake wana uwezo mkubwa sana wa akili fedha na hata ushawishi kwenye jamii sasa nikifikiri hivyo na ww nakuweka kwenye kundi la wanawake wasio jielew
Mimi dume la mbegu ww pumbavu
 
Tulia nilitanguliza samahani likafuata swali! Tulia mama..
sawa unaweza niita mama ila uhalisia ndio huo mama yako ni chombo cha starehe na ni dhaifu.... hiyo samahani ina saidia nn kama unaweza mdarau mtu aliekuleta duniani..... au baba yako ndivyo alivyokufunza kwamba udharau mwanamke😂😂😂😂
 
hakuna dume la mbegu likadharau mwanamke zaidi ww unaelekea kwenye upinde huwezi ukawa mwanaume kamili ukaacha kumpenda na kumthamini mwanamke badala yake ukamponda na kumdharau inamaana kuna vitu wamekuzidi na ukiwaona wako na wanaume unatamani ww ndio uende ukaliwe pale
Mimi dume la mbegu ww pumbavu
 
sawa unaweza niita mama ila uhalisia ndio huo mama yako ni chombo cha starehe na ni dhaifu.... hiyo samahani ina saidia nn kama unaweza mdarau mtu aliekuleta duniani..... au baba yako ndivyo alivyokufunza kwamba udharau mwanamke😂😂😂😂
Unajua nini bibie! Let"s cut the story! Nawaomba nyie wanawake msamaha.
 
hakuna dume la mbegu likadharau mwanamke zaidi ww unaelekea kwenye upinde huwezi ukawa mwanaume kamili ukaacha kumpenda na kumthamini mwanamke badala yake ukamponda na kumdharau inamaana kuna vitu wamekuzidi na ukiwaona wako na wanaume unatamani ww ndio uende ukaliwe pale
Akili ndogo sana hizi unamiaka mingapi?
 
Unajua nini bibie! Let"s cut the story! Nawaomba nyie wanawake msamaha.
hao ma bibie wanaweza kukutafuna vizuri tu acha dharau dogo mlango wa baraka haupo kwenye dharau kwa wanawake inasikitisha level ya ushoga uliyofikia ni mbaya unaweza chukia mwanamke kisa unaona wanakuzibia rizki😂😂😂😂😂😂
 
hao ma bibie wanaweza kukutafuna vizuri tu acha dharau dogo mlango wa baraka haupo kwenye dharau kwa wanawake inasikitisha level ya ushoga uliyofikia ni mbaya unaweza chukia mwanamke kisa unaona wanakuzibia rizki😂😂😂😂😂😂
Tulia mwanamke huna kauli mbele ya mwanaume emoji emoji za nini?
 
Back
Top Bottom