Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
The way u sounded, it was like so...sasa kutulia n kuangalia moja nao ni msimamo mkali? maybe nime adopt hio tabia yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The way u sounded, it was like so...sasa kutulia n kuangalia moja nao ni msimamo mkali? maybe nime adopt hio tabia yao
are you mlinzi?No far comment☺️
Me sina shida na wewe na wala haikuwa vita dada yangu, uwe na amani.Leo umereply in peace mana mara ya mwisho ilikua ni vita,,
enewei,, ukweli usemwe huku nje hakufai hata kidogo.
Noare you mlinzi?
asante nawewe pia,,niko single usinizibie rizki bwana weweeeeeeeee 🤣Me sina shida na wewe na wala haikuwa vita dada yangu, uwe na amani.
Nadhani tulitofautiana mambo ambayo tunaweza kukubali kutofautiana.
Usiku mwema na msalimie shemeji.
Haha, tafuta kijana umtulize sasa.asante nawewe pia,,niko single usinizibie rizki bwana weweeeeeeeee 🤣
HIi comment akiiona Atoto umekwishaKwanini na wao wasitafute? Kama baba zao walishindwa kuzitafuta na wakawa masikini, kwanin waforce wanaume kuwapa pesa?
Never marry a broke woman.
Nje wapi?acha kuwadanganya wenzio,, nyie wanaume bembelezeni hao wanawake zenu,,huku nje ni kubayaaaa.....
Mwache, usimjibu, atakupotezea muda.Sawa ni uamuzi wako.
Tangu lini maisha yakuumize kichwa wakati tunajua umewekwa ndani na kibosile mmoja unajipakulia minyama TU, waseme wengine sio wewe kimwanayani mimi nikae tuanze kuviziana kama fisi anayesubiri mkono udondoke ukianza kunionesha mapicha picha imekula kwako namaanisha niko kama kioo ukicheka nacheka ukinuna nanuna maisha yaniumize kichwa na mtu tuliekutana ukubwani naye anichanganye haiwezekani!
Hii ni jamii, pengine kuna wadogo zetu wamejiunga na hawayafahamu haya na wapo kwenye hizo hali. Pengine sisi tumeshakomaa na kufahamu mchezo jinsi ulivyo.Pamoja na hayo yote kuandikwa watu bado wataachwa Sana.Kuachwa Ni Jambo ambalo haliepukiki kbsa ila Ni suala la Muda tu.
Asante kwa ushauri.Mwache, usimjibu, atakupotezea muda.
NitajitahidHaha, tafuta kijana umtulize sasa.
Tunatakiwa kuwaamshq good guys na kuwaambia wanawake nowadays sio special, wasiwape umuhimu sana.Ktk dunia ya sasa ambapo ngono inathaminishwa na pesa, mapenzi hutakiwi kuyachukulia serious. Ingia kwenye mapenzi huku ukitenga asilimia atleast 25 kwamba kuna siku utaachwa,itakusaidia sana.
Kwani siku hizi kuachwa kitu cha kawaida,ndugu zangu Church/good guy pamoja na kujitoa kwa hali na mali bado wanaachwa huku wahuni wakikumbatiwa.
So kuachwa ni kitu cha kawaida sana siku hizi.
Kabisa na ni lengo langu kubwa hiliHii ni jamii, pengine kuna wadogo zetu wamejiunga na hawayafahamu haya na wapo kwenye hizo hali. Pengine sisi tumeshakomaa na kufahamu mchezo jinsi ulivyo.
Tusiwe wachoyo wa maarifa. Tuwe na akiba ya kufikiria pia pengine kunaweza kukawa na wadogo zetu hizi mbili tatu zinaweza kuwa na manufaa kwao.
Hatuwapi umuhimu, tunagawa maarifa kwa wanaume wenzetu wasiojua ukweli wa mambo.Mbona mnawapa umuhimu sana wanawake kumbuka mwanamke ni kama beseni au bati unalinunua likikukinai unalitupa unanunua jingine zuri zaidi
mwaka mzma,,sasa huko ni kuombolezaNje wapi?
Too much is harmful, bembeleza kwa kiasi sio mwaka mzima unaisha unabembeleza.