Mwanaume, Ukiona mwanamke wako kaanza kukaa mbali nawe, fanya hivi…

Mwanaume, Ukiona mwanamke wako kaanza kukaa mbali nawe, fanya hivi…

Na hakuna mwanaume wa kufanyiwa ujinga tena. Labda atake mwenyewe .
Nitaendelea kupaza sauti, ili wao wapate elimu.
Sauti yako hauwezi kusaidia, tatizo wana vichwa viwili na kidogo ndo kibishi linapokuja suala zima la maamuzi 😜🤣🤣🤣
 
Kama ingekuwa hivyo wengi wangeolewa na maex zao.
Maex tena?!!! Katika vitu sivikubali basi hao maex, wanakuwa wanachorana baada ya kupigwa na vitu vizito walikotoka.!!
Mimi nasemea hao unaowafundisha hawawezi kukusikiliza wana vichwa viwili na kidogo ndo final say!! Bado hujaelewa??
 
Maex tena?!!! Katika vitu sivikubali basi hao maex, wanakuwa wanachorana baada ya kupigwa na vitu vizito walikotoka.!!
Mimi nasemea hao unaowafundisha hawawezi kukusikiliza wana vichwa viwili na kidogo ndo final say!! Bado hujaelewa??
Wasiposikiliza, watafundishwa kwa matukio. Mi nitakuwa nimetimiza kazi yangu ya kinabii.
 
Sasa hivi kuna single mother wengi kwakua watu wanashindana aka usinibabaishe style/naondoka zangu style/nimechoshwa na ww style sometimes wanatukanana kabisa
 
Back
Top Bottom