Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Inasikitisha sanaBado mnateswa na mapenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanaBado mnateswa na mapenzi
Una misimamo mikali sana ya wanawale wa kichaga when it comes to affairs/relationships.. siwazagi hatavkuwasogelea hao viumbehell no,, but why??
Ni uamuzi wako ila ukifika miaka 30+ huna cheti cha ndoa, utakuja kulia.Sheria ni ile ile ukiachwa pendeza, ukipendwa ringa 😂😂😂
Acha watu wa enjoys utoto, wakikia wataacha. Usawa huu ukaanze kukimbizana na issues za wanawake kweli, katika mambo yoooote haya ya kufanya?!!Inasikitisha sana
Haha kama chino anavyogandaWabembelezaji wengi Marioo au hawana pa kwenda.!! Sasa nani anataka kugandwa na gendaeka 🤣🤣🤣
That’s my gal 💋tayari nimesha summarize gazeti lako lile niko safiii😂😂😂😂😂 usijal kuhusu mimi nina kichwa chepesi sana
Pamoja mkuuStay tune siku zijazo nitadig deeper.
Nawasanua wanaume wenzangu.
uyo wa kila mda jf ndomimi sasa,, usinambie nshakosa mume😫Mimi nawakataza wanaume kuwaoa wanawake wanaotanguliza pesa na wasiowapenda.
Pia wanawake wanaopenda sana mitandao ya kijamii hawafai kuolewa, namaanisha kila muda yuko JF.
Sasa watu kama akina Lamomy ni wa kuwababaisha na ndoa? Hao ni makanjanja promax wala hawana habar . Date them at your own risks. 😂Ni uamuzi wako ila ukifika miaka 30+ huna cheti cha ndoa, utakuja kulia.
Mke wa GSM aliolewa akiwa bikra. So emotional attachment ipo. Wanawake wakiwa na wanaume wengi , anakosa attachment.🤣🤣🤣 Hivi unakijua unachokiongea?? Unafikiri mke wa GSM hata akisikia mume wake anachit ataondoka??
Tafuta pesa acha ubishi!! Hizo mambo aliziweza Ayubu peke yake, hata alipochukuliwa utajiri wake wote alibaki na Mungu. Ila sio kwa sie kina bazoka
mdogo wako yule wa chuo natupa kuleee 😂😂😂 kulingana na ushaur wako wifiiiThat’s my gal 💋
Wewe kwanza pesa ulizouza mazao ziko wapi?? Unajua chino sikuelewi kabisaa.!!? 🤣🤣🤣Haha kama chino anavyoganda
mdogo wako yule wa chuo natupa kuleee 😂😂😂 kulingana na ushaur wako wifiiiThat’s my gal 💋
Hata kuwala hao, lazima wew uliwe kwanza utake usitake lazima utoboke kwanza ndio angakau unaweza uona ufalme wa mbunye. Vinginevyo unaweza liwa na usile 😂Ni kula na kupita hivi.
Umesema vyema mkuuAcha watu wa enjoys utoto, wakikia wataacha. Usawa huu ukaanze kukimbizana na issues za wanawake kweli, katika mambo yoooote haya ya kufanya?!!
Mimi huyu?? Kwa kero za wanaume kuna rafiki yangu nilimshauri cheti chake cha ndoa tukichome tuotee moto baridi kali.!! 🤣🤣🤣Ni uamuzi wako ila ukifika miaka 30+ huna cheti cha ndoa, utakuja kulia.