Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
vipi huu uzi sio unakuhusu wewe mwenyewe yaliyokukuta kwel??Sidanganyi, ni ukweli halisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vipi huu uzi sio unakuhusu wewe mwenyewe yaliyokukuta kwel??Sidanganyi, ni ukweli halisi.
Uzuri wake ujumbe huu unawahusu sana wanaume . Ila nyinyi pia mnaweza changia.Sawa endeleeni kushusha nyuzi tutajua nani anateseka 🤣🤣🤣
Maana hao wanawake tumenyamaza ila wasemaji mko mbio mbio km mnakimbiza mwenge
Hapana .vipi huu uzi sio unakuhusu wewe mwenyewe yaliyokukuta kwel??
Wabembelezaji wengi Marioo au hawana pa kwenda.!! Sasa nani anataka kugandwa na gendaeka 🤣🤣🤣😂😂😂😂Sasa kama hubembelezwi , inatofautiana nini na sie mayatima wa mapenz dada!!!!!?????
vipi anahitaji mwingine au kaapa hatopenda tena😆😆Wapo , kuna mmoja alisalitiwa juzi kati , akataka kujinyonga, ilibidi tumsaidie maana aliathiriwa kisaikolojia baada ya kusalitiwa.
Kwanza utakubali sasaHapana .
Hataki mwanamke kwa sasa. Nimemshauri kwanza apone jeraha lake, then awe makini sana kuchagua wanawake.vipi anahitaji mwingine au kaapa hatopenda tena😆😆
Wewe ni mchagasote tu watu wazima hizo mambo za kuviziana tumeachia under 18 hao kutestiana ni sawa nishakua nyani mzee nakutest nigundue nini kwa mfano? kaa hapa tutulie tuenjoi maisha yeye kam hajamaliza ujana ni shauri yake sina muda, mambo ni mengi n muda ni mchache
Bado hujatuelewa wanawake, siku ukijua utajicheka sana.!!Kwa sababu hisia zenu zinawaaminisha kuwa ulikosea kumpa nafasi katika maisha yako.
kumbe ndo yanaendelea sasa kwenye ulimwengu wa mapenz 😂😂😂😂Wabembelezaji wengi Marioo au hawana pa kwenda.!! Sasa nani anataka kugandwa na gendaeka 🤣🤣🤣
Ndo hivyo. Kama hutaki kuamini sikulazimishi.Kwanza utakubali sasa
Kuwaelewa kwamba.Bado hujatuelewa wanawake, siku ukijua utajicheka sana.!!
Acheni kuteseka na wanawake, tafuteni PESAUzuri wake ujumbe huu unawahusu sana wanaume . Ila nyinyi pia mnaweza changia.
Ila it's especially for men.
Pesa haitafutwi ila pesa inamfuata mtu. Ni kutengeneza mazingira pesa ikutafute.Acheni kuteseka na wanawake, tafuteni PESA
Wanawake sisi sasa waigizaji ndo awe makini kutuchagua eeeeh?Hataki mwanamke kwa sasa. Nimemshauri kwanza apone jeraha lake, then awe makini sana kuchagua wanawake.
sawa mkuuNdo hivyo. Kama hutaki kuamini sikulazimishi.
Kuna tabia huwa hamjifichi, nikipata muda nitazianika. Kuwasoma nyinyi ni rahisi sana kwa mwenye maarifa.Wanawake sisi sasa waigizaji ndo awe makini kutuchagua eeeeh?
Wanapenda michezo sana.Ndio maana mimi hua nawabadili kila wiki nakua na chombo mpya ili asipate huo muda wa kutaka kucheza mchezo wa Tom and Jerry na mimi.
😎