Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Kwahiyo prophet unataka ku prophecyKuna tabia huwa hamjifichi, nikipata muda nitazianika. Kuwasoma nyinyi ni rahisi sana kwa mwenye maarifa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo prophet unataka ku prophecyKuna tabia huwa hamjifichi, nikipata muda nitazianika. Kuwasoma nyinyi ni rahisi sana kwa mwenye maarifa.
Na ndo ukiipata itaomba msamaha kwa niaba yako broPesa haitafutwi ila pesa inamfuata mtu. Ni kutengeneza mazingira pesa ikutafute.
Hahahaha ndo kazi yangu, kupaza sauti ili wanaume masimps waokoke , wasicommitt kwa wanawake wasiowataka wasije wakalea watoto wasio wao.Kwahiyo prophet unataka ku prophecy
Basi mimi naomba unabii wako usitimie😆🙌🏾Hahahaha ndo kazi yangu, kupaza sauti ili wanaume masimps waokoke , wasicommitt kwa wanawake wasiowataka wasije wakalea watoto wasio wao.
Kwanini ? Nawafungua akili wenzangu.Basi mimi naomba unabii wako usitimie😆🙌🏾
hell no,, but why??Wewe ni mchaga
🤣🤣🤣 Fanya hivyo chapngoja ni screenshot hii elimu dunia nzuri sasa nitaishi nayo😂😂
Mwanaume unaposimama kama Mwanaume,hakuna Mwanamke atakae kuchezea michezo ya kitoto,Wanapenda michezo sana.
Usimfundishe feminism.🤣🤣🤣 Fanya hivyo chap
Usipende kubembelezwa hovyo na watu waliokosa kazi za kufanya.!! We hushangai wanawake wote waliojaa aje kujiliza kwako km sio anatafuta ganda la ndizi?? Shtuka unatapeliwa.!! SIFUNDISHI TENA HII
Uko sahihi sana.Mwanaume unaposimama kama Mwanaume,hakuna Mwanamke atakae kuchzea michezo ya kitoto,
Akijifanya kununa unafukuza kisha unampiga na block,
Life is too short,usiishi kwa mateso,hukuja na mtu hapa Duniani wala hutaondoka na Mtu.
Aisee ubongo umepata kitu hapaWanawake sikuzote huwajaribu wanaume wao, wanatafuta udhaifu kila kukicha. Kubembeleza mara kwa mara ni udhaifu. Mwanaume hapaswi kuwa relationship oriented, hio ni kazi ya Wanawake, mwanaume anapaswa kuwa purpose-oriented.
wewe ndo wale manabii wa uongo 😂,,we sio kataa ndoa kwel wewKwanini ? Nawafungua akili wenzangu.
teena hata asilogwe akajaribu kunitest yani come back yangu lazima aombe back up ya ukoo wake wote sasa yote ya nn tulia nishakufia tufanye maishaUko sahihi. Ila kama wewe wako wachache.
Stay tune siku zijazo nitadig deeper.Aisee ubongo umepata kitu hapa
tayari nimesha summarize gazeti lako lile niko safiii😂😂😂😂😂 usijal kuhusu mimi nina kichwa chepesi sana🤣🤣🤣 Fanya hivyo chap
Usipende kubembelezwa hovyo na watu waliokosa kazi za kufanya.!! We hushangai wanawake wote waliojaa aje kujiliza kwako km sio anatafuta ganda la ndizi?? Shtuka unatapeliwa.!! SIFUNDISHI TENA HII
🤣🤣🤣 Hivi unakijua unachokiongea?? Unafikiri mke wa GSM hata akisikia mume wake anachit ataondoka??Pia Pesa sio suluhisho la mahusiano yenye mgogoro wala si chanzo cha kufanya mahusiano kudumu.
Mimi nawakataza wanaume kuwaoa wanawake wanaotanguliza pesa na wasiowapenda.wewe ndo wale manabii wa uongo 😂,,we sio kataa ndoa kwel wew
Sheria ni ile ile ukiachwa pendeza, ukipendwa ringa 😂😂😂Usimfundishe feminism.