Mwanaume, Ukiona mwanamke wako kaanza kukaa mbali nawe, fanya hivi…

Mwanaume, Ukiona mwanamke wako kaanza kukaa mbali nawe, fanya hivi…

Kwahiyo prophet unataka ku prophecy
Hahahaha ndo kazi yangu, kupaza sauti ili wanaume masimps waokoke , wasicommitt kwa wanawake wasiowataka wasije wakalea watoto wasio wao.
 
.
 

Attachments

  • Screenshot_20240609-212047_Gallery.jpg
    Screenshot_20240609-212047_Gallery.jpg
    380.9 KB · Views: 6
ngoja ni screenshot hii elimu dunia nzuri sasa nitaishi nayo😂😂
🤣🤣🤣 Fanya hivyo chap
Usipende kubembelezwa hovyo na watu waliokosa kazi za kufanya.!! We hushangai wanawake wote waliojaa aje kujiliza kwako km sio anatafuta ganda la ndizi?? Shtuka unatapeliwa.!! SIFUNDISHI TENA HII
 
🤣🤣🤣 Fanya hivyo chap
Usipende kubembelezwa hovyo na watu waliokosa kazi za kufanya.!! We hushangai wanawake wote waliojaa aje kujiliza kwako km sio anatafuta ganda la ndizi?? Shtuka unatapeliwa.!! SIFUNDISHI TENA HII
Usimfundishe feminism.
 
Wanawake sikuzote huwajaribu wanaume wao, wanatafuta udhaifu kila kukicha. Kubembeleza mara kwa mara ni udhaifu. Mwanaume hapaswi kuwa relationship oriented, hio ni kazi ya Wanawake, mwanaume anapaswa kuwa purpose-oriented.
Aisee ubongo umepata kitu hapa
 
🤣🤣🤣 Fanya hivyo chap
Usipende kubembelezwa hovyo na watu waliokosa kazi za kufanya.!! We hushangai wanawake wote waliojaa aje kujiliza kwako km sio anatafuta ganda la ndizi?? Shtuka unatapeliwa.!! SIFUNDISHI TENA HII
tayari nimesha summarize gazeti lako lile niko safiii😂😂😂😂😂 usijal kuhusu mimi nina kichwa chepesi sana
 
Pia Pesa sio suluhisho la mahusiano yenye mgogoro wala si chanzo cha kufanya mahusiano kudumu.
🤣🤣🤣 Hivi unakijua unachokiongea?? Unafikiri mke wa GSM hata akisikia mume wake anachit ataondoka??
Tafuta pesa acha ubishi!! Hizo mambo aliziweza Ayubu peke yake, hata alipochukuliwa utajiri wake wote alibaki na Mungu. Ila sio kwa sie kina bazoka
 
Back
Top Bottom