Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hayana muongozo ila ni vyema kuwa na maarifa.
Leo umereply in peace mana mara ya mwisho ilikua ni vita,,Leo umeongea point.
Vipi uko kwenye mahusiano? Yakoje?Duuh sikumbuki mara ya mwisho mwanamke kuniuliza 'umeamkaje/unaendeleaje', kumbe hiyo hali kuna watu inawatesa, amaa kweli dunia uwanja wa fujo
Hakufai kwa wanawake ila kwa wanaume inawafaa.Leo umereply in peace mana mara ya mwisho ilikua ni vita,,
enewei,, ukweli usemwe huku nje hakufai hata kidogo.
hivi hao nice guys bado wapo kwenye huu ulimwengu wa sasa!?,,,kama yupo na unamfahamu naomba uniunganishe nae 🤣😂Uko sahihi ila mara nyingi jambo hili huwapata nice guys ambao hawafanyagi makosa, haiwapati badboys.
Na lengo langu ni kuwasaidia nice guys.
endelea tu kudanganya wenzio kazana tuHakufai kwa wanawake ila kwa wanaume inawafaa.
Tena wanateswa na WANAWAKE eti 😜bado mnateswa na mapenzi 😂😂😂😂😂 mitano tena kwa mama
Si kweli, mi natoa maarifa yangu kuwafungua wanaume wenye hisia sana na wanawake. Wanaume wenye hisia wakisalitiwa wanaweza fanya mambo ya ajabu. So ni bora wajue mapema kuwa dawa sio kupiga wala kuua ni kujiondoa.Kwani kmetokea nini?? Huu uzi wa nne unaongelea kuwalipizia wanawake.!! 🤣🤣🤣
Si tumekubaliana mapenzi tuyachukulie km burudani, muziki ukiisha kila mmoja na njia yake.😜
😂😂😂 Wewe siku hizi hakuna kubembelezana Yesu anakaribia kurudiacha kuwadanganya wenzio,, nyie wanaume bembelezeni hao wanawake zenu,,huku nje ni kubayaaaa.....
Ni mwanaume mjinga tu anayeteswa na wanawake. Hatujaumbwa kwa ajili ya wanawake, tumeumbwa kutimiza makusudi tunayopaswa kufanya.Tena wanateswa na WANAWAKE eti 😜
Na kwann wasalitiwe?? 😂Si kweli, mi natoa maarifa yangu kuwafungua wanaume wenye hisia sana na wanawake. Wanaume wenye hisia wakisalitiwa wanaweza fanya mambo ya ajabu. So ni bora wajue mapema kuwa dawa sio kupiga wala kuua ni kujiondoa.
Sidanganyi, ni ukweli halisi.endelea tu kudanganya wenzio kazana tu
😂😂😂😂Sasa kama hubembelezwi , inatofautiana nini na sie mayatima wa mapenz dada!!!!!?????😂😂😂 Wewe siku hizi hakuna kubembelezana Yesu anakaribia kurudi
Wapo , kuna mmoja alisalitiwa juzi kati , akataka kujinyonga, ilibidi tumsaidie maana aliathiriwa kisaikolojia baada ya kusalitiwa.hivi hao nice guys bado wapo kwenye huu ulimwengu wa sasa!?,,,kama yupo na unamfahamu naomba uniunganishe nae 🤣😂
Sawa endeleeni kushusha nyuzi tutajua nani anateseka 🤣🤣🤣Ni mwanaume mjinga tu anayeteswa na wanawake. Hatujaumbwa kwa ajili ya wanawake, tumeumbwa kutimiza makusudi tunayopaswa kufanya.
Kwa sababu hisia zenu zinawaaminisha kuwa ulikosea kumpa nafasi katika maisha yako.Na kwann wasalitiwe?? 😂