Mwanaume ukishajijua una kibamia, fanya haya yafuatayo kila kitu kitaenda sawa

Mwanaume ukishajijua una kibamia, fanya haya yafuatayo kila kitu kitaenda sawa

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Utakuta baadhi ya wanaume wanahangaika kutafuta tiba, kufanya mazoezi ili kuwa na maumbile makubwa. Na bado hawafikii lengo.
Sasa wewe kama una kibamia;

kwanza: mpende mkeo/mpenzi wako kwa dhati na hakikisha nayeye anakupenda. Kuwa muungwana tu haishushi uanaume wako .

Pili: jitahidi kutoonesha dharau ndogo ndogo. Wanawake wengi huamini wanaume wenye dharau wako vizuri kwenye kila eneo.

Tatu: kabla ya kuanza mchakato wa utungishaji, muandae mkeo na sio kumparamia. Hata kuku hufanya maandalizi. Maandalizi yapo mengi tu. Kuanzia kwenye mazungumzo yenu, vitendo nk.

Nakwambiaje, kuna wanaume wana vibamia lakini huwezi kuta wanalalamikiwa na wake zao. Sasa wewe jifanye gaidi na wakati una mapungufu! Ni hayo tu kwa sasa
 
Utakuta baadhi ya wanaume wanahangaika kutafuta tiba, kufanya mazoezi ili kuwa na maumbile makubwa. Na bado hawafikii lengo.
Sasa wewe kama una kibamia: kwanza: mpende mkeo/mpenzi wako kwa dhati na hakikisha nayeye anakupenda. Kuwa muungwana tu haishushi uanaume wako .

Pili: jitahidi kutoonesha dharau ndogo ndogo. Wanawake wengi huamini wanaume wenye dharau wako vizuri kwenye kila eneo.

Tatu: kabla ya kuanza mchakato wa utungishaji, muandae mkeo na sio kumparamia. Hata kuku hufanya maandalizi. Maandalizi yapo mengi tu. Kuanzia kwenye mazungumzo yenu, vitendo nk.

Nakwambiaje, kuna wanaume wana vibamia lakini huwezi kuta wanalalamikiwa na wake zao. Sasa wewe jifanye gaidi na wakati una mapungufu! Ni hayo tu kwa sasa
Bamia baadaye, bila usalama bamia haina maana, kwasasa tuongelee
  1. Utekaji unachagizwa sana na ukondoo wa wabongo.
  2. Timu ya uchunguzi wa Makosa makubwa kutoka ofisi ya DCI yatumwa kuchunguza Mauaji ya Ally Mohamed Kibao wa CHADEMA
  3. Jeshi La Polisi Lasikitishwa Sana na Kifo cha Kada wa CHADEMA,latoa wito kwa mwenye taarifa za kweli na uhakika awasilishe kwa mujibu wa taratibu.
  4. Waandishi wa Habari mliopo humu JF haya ya kutekwa wanachama wa upinzani au wanaokosoa hamuyaoni au kukemea sio kwa Maslahi ya Taifa?
  5. Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao
 
Utakuta baadhi ya wanaume wanahangaika kutafuta tiba, kufanya mazoezi ili kuwa na maumbile makubwa. Na bado hawafikii lengo.
Sasa wewe kama una kibamia: kwanza: mpende mkeo/mpenzi wako kwa dhati na hakikisha nayeye anakupenda. Kuwa muungwana tu haishushi uanaume wako .

Pili: jitahidi kutoonesha dharau ndogo ndogo. Wanawake wengi huamini wanaume wenye dharau wako vizuri kwenye kila eneo.

Tatu: kabla ya kuanza mchakato wa utungishaji, muandae mkeo na sio kumparamia. Hata kuku hufanya maandalizi. Maandalizi yapo mengi tu. Kuanzia kwenye mazungumzo yenu, vitendo nk.

Nakwambiaje, kuna wanaume wana vibamia lakini huwezi kuta wanalalamikiwa na wake zao. Sasa wewe jifanye gaidi na wakati una mapungufu! Ni hayo tu kwa sasa
Changamoto size haijulikani siku hizi ipi sahihi naa ipi kibamia.
 
Wiki ya vibamia mpaka vikome, ndo unajikuta makundi yote umo arooo lazima upate makasiriko ovyo ovyo, hela huna, nguvu huna, kazi huna, mpenzi huna, kibami unacho, hasira zinamaliziwa kwa keyboard napo ukikutana na Kapeace anakupa nyundo za utosi teh teh teh

Lamomy
 
Wiki ya vibamia mpaka vikome, ndo unajikuta makundi yote umo arooo lazima upate makasiriko ovyo ovyo, hela huna, nguvu huna, kazi huna, mpenzi huna, kibami unacho, hasira zinamaliziwa kwa keyboard napo ukikutana na Kapeace anakupa nyundo za utosi teh teh teh

Lamomy
Tayari kuna binti Sayuni kashaita mwana wa Israel kibamia huko 😂😂😂

Ukitaka kumfanya mwanaume ajiteme mate ww muite kibamia ana poumbou ndefu kuliko mkia 🤣🤣🤣
 
Wiki ya vibamia mpaka vikome, ndo unajikuta makundi yote umo arooo lazima upate makasiriko ovyo ovyo, hela huna, nguvu huna, kazi huna, mpenzi huna, kibami unacho, hasira zinamaliziwa kwa keyboard napo ukikutana na Kapeace anakupa nyundo za utosi teh teh teh

Lamomy
Maisha lazima yawe magumu.
 
Back
Top Bottom