Mwanaume ukishajijua una kibamia, fanya haya yafuatayo kila kitu kitaenda sawa

Mwanaume ukishajijua una kibamia, fanya haya yafuatayo kila kitu kitaenda sawa

Tayari kuna binti Sayuni kashaita mwana wa Israel kibamia huko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukitaka kumfanya mwanaume ajiteme mate ww muite kibamia ana poumbou ndefu kuliko mkia 🀣🀣🀣
Safi sana endeleeni kuwapa sifa zao wasizikimbieπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…unanifurahisha sana
 
Utakuta baadhi ya wanaume wanahangaika kutafuta tiba, kufanya mazoezi ili kuwa na maumbile makubwa. Na bado hawafikii lengo.
Sasa wewe kama una kibamia: kwanza: mpende mkeo/mpenzi wako kwa dhati na hakikisha nayeye anakupenda. Kuwa muungwana tu haishushi uanaume wako .

Pili: jitahidi kutoonesha dharau ndogo ndogo. Wanawake wengi huamini wanaume wenye dharau wako vizuri kwenye kila eneo.

Tatu: kabla ya kuanza mchakato wa utungishaji, muandae mkeo na sio kumparamia. Hata kuku hufanya maandalizi. Maandalizi yapo mengi tu. Kuanzia kwenye mazungumzo yenu, vitendo nk.

Nakwambiaje, kuna wanaume wana vibamia lakini huwezi kuta wanalalamikiwa na wake zao. Sasa wewe jifanye gaidi na wakati una mapungufu! Ni hayo tu kwa sasa
πŸ‘πŸ»
 
Tayari kuna binti Sayuni kashaita mwana wa Israel kibamia huko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukitaka kumfanya mwanaume ajiteme mate ww muite kibamia ana poumbou ndefu kuliko mkia 🀣🀣🀣
Dahhh! Mnajua kutuna aisee! P ndefu kuliko!
 
Yani unidharau wakati wewe kibamia na niendelee kukunyekea?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanamke akijua udhaifu wako wewe usimpe attention na kujifanya bingwa wa ngono kante atazidi kukuona fala… wewe cha kufanya mpe pesa ili aogope kukuacha asije kufa njaa 🀣🀣
Broo unafeli wapi? Hii sifundishi tena.!!
 
Safi sana endeleeni kuwapa sifa zao wasizikimbieπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…unanifurahisha sana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ tuko pamoja m/kiti
 
download.jpeg
 
Watajifanya hawacomment humu ila wataanzisha uzi wa kunanga kuhusu kujua size, wiki haipiti lazima wajibu haya mashambulizi, nitawazomeaje labda nikose muda
Sijui nijaribu bahati πŸ€”
 
Hahaha , ila kuna saa yale madude yanavutika yanakuwa marefu kuliko mzigo wenyewe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kaka mwambie bodaboda akupeleke home inatosha kwa leo umekunywa sana, kesho jtatu unahitajika kwenye kikao cha bodi pls
 
Watajifanya hawacomment humu ila wataanzisha uzi wa kunanga kuhusu kujua size, wiki haipiti lazima wajibu haya mashambulizi, nitawazomeaje labda nikose muda
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ we don’t careeeeeeeeee.!!
Walete watatukuta tunalala nao sako kwa bako
 
Em

Naomba tucheze mchezo japo kwa dakika 10 kama una muda
Mchezo upi na unachezwaje!!

Navyouliza km vina maana kumbe ushubwada tuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Wiki ya vibamia mpaka vikome, ndo unajikuta makundi yote umo arooo lazima upate makasiriko ovyo ovyo, hela huna, nguvu huna, kazi huna, mpenzi huna, kibami unacho, hasira zinamaliziwa kwa keyboard napo ukikutana na Kapeace anakupa nyundo za utosi teh teh teh

Lamomy
Ushawahi kutana na hii kesi?
 
Back
Top Bottom