Mwanaume uliyepo ndani ya ndoa kama huchezi mechi za nje eti kisa heshima kwa mkeo jitafakari mara mbili

Mwanaume uliyepo ndani ya ndoa kama huchezi mechi za nje eti kisa heshima kwa mkeo jitafakari mara mbili

Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
 
Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Jizazi [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Kwenye puchu upo sahihi....ila kwenye libido endelea kujidanganya kwa taarifa yako wanawake ndio wanaongoza kwa kupenda ngono kuliko wanaume .

Sio tu kwenye ngono wanawake ndio wanao ongoza kwenye ulevi kuliko wanaume kama hujui

Ila sema yote hayo jamii imemficha mwanamke na kumuona hana hatia.ila ndani yake ni hatari
Halafu kuna mtu anamuona baba yake kuwa na wanawake wengi ni katili angejua nadhani angefata nyao za baba yake
 
Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Hapana hiyo ni tabia yako mkuu usiwasemee wanawake wote. Wapo wanawake wanaojiheshimu hata agombane vipi na mumewe hawezi kufanya ujinga huo.
 
Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Sasa ni wanaume wangapi wanamuda wa kufanya hayo.....? Utakuta kunajanaume litakuja kukubishia haya unayo sema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Hamna kitu kama hiko kwamba ukimpa mkeo attention ndio hata cheat huu ni uongo ambao wanaume wengi wamepigwa wanabaki kusema hawa viumbe wanataka nini?

Jibu ni moja wanawake nao hutamani na hupenda kubadilisha wanaume bila sababu ya msingi kama sisi wanaume tufanyavyo ila hizo sababu za humridhishi mara hauko romantiki nendeni mkawadaganye wanaume wenye IQ ya kuku
 
Hayo ni siri ya ndani mzee[emoji1][emoji1]
Mi ndo nimetolea dokezo wanaotaka kuingia kwenye ndoa kisa ngono wajue hali ni tofauti.

Kuna uwezekano ndani ya mwezi ukaishia kumkumbatia na kumbusu tu.
 
Hapana hiyo ni tabia yako mkuu usiwasemee wanawake wote. Wapo wanawake wanaojiheshimu hata agombane vipi na mumewe hawezi kufanya ujinga huo.
Yani unabisha wakati we si mwanamke!!!

Unazungumzia ugomvi unaotokea leo ila maisha kabla ya ugomvi ilikuwa ni shere shere za kutongozana kutaniana, hawezi kuchepuka papo hapo labda iwe ameshajipanga

Mi nimezungumzia desturi ya kutotaniana ama kutongozana haipo ndani ya nyumba, rafiki yangu mkeo ataliwa kiulaini kabisa,

una zaidi ya miezi hujamsifia hata kidogo mkeo, na akitoka huko nje anasifiwa na kupambwa kwa unyenyekevu, ataliwa tu hakuna mkate mgumu mbele ya chai
 
Hapana hiyo ni tabia yako mkuu usiwasemee wanawake wote. Wapo wanawake wanaojiheshimu hata agombane vipi na mumewe hawezi kufanya ujinga huo.
Nilijua tu wanaume wa kujifanya wanawajua wanawake kushinda wanavyo jijua hawakosi........pamoja na wanawake wenyewe kukili lkn bado tu unabisha ni mahaba au...?
 
Sasa ni wanaume wangapi wanamuda wa kufanya hayo.....? Utakuta kunajanaume litakuja kukubishia haya unayo sema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie mnasema mkishatuweka ndani tunajisahau lakini na nyie zile tashtiti za wakati unachumbia huwa mnazisahau kabisa, hapo mtachepukiana mpaka mtoane roho
 
Back
Top Bottom