Mwanaume uliyepo ndani ya ndoa kama huchezi mechi za nje eti kisa heshima kwa mkeo jitafakari mara mbili

Mwanaume uliyepo ndani ya ndoa kama huchezi mechi za nje eti kisa heshima kwa mkeo jitafakari mara mbili

Hamna kitu kama hiko kwamba ukimpa mkeo attention ndio hata cheat huu ni uongo ambao wanaume wengi wamepigwa wanabaki kusema hawa viumbe wanataka nini ?
Jibu ni moja wanawake nao hutamani na hupenda kubadilisha wanaume bila sababu ya msingi kama sisi wanaume tufanyavyo ila hizo sababu za humridhishi mara hauko romantiki nendeni mkawadaganye wanaume wenye IQ ya kuku
Mwanamke anayechepuka kwa sababu ya kubadili ladha anakuwa na hulka ya umalaya,

Tunachepuka kwa kusababishiwa, niamini ukimpa mwanamke wako attention yako uwezekano wa kucheat Ni mdogo Sana au haupo kabisa,

Umenisikia wewe mwenye IQ ya bata
 
Asifiwe BWANA kwa kutuumba na mitizamo TOFAUTI.....

Utoe FEDHA za KUNYWA NA "MAJICHANO"....

Utoe FEDHA za "nyumba" ya WAGENI....

Utoe FEDHA za kumpa "BAKSHISHI".....

Utoe FEDHA ya NAULI arudi KWAKE.....

Uendelee "KUUTUNZA" kama MCHEPUKO....kumbuka unapokuwa kwenye NDOA na ukiwa mwenye KUJITAMBUA VYEMA basi USIRI utautanguliza...na hakuna SIRI YA "MICHEPUKO WENGI WA HOLELA"....

Right?!!!

Usisahau na kuweka FEDHA ya matibabu ya "GONO,CHLAMYDIA na GENITAL WARTS(marutu mizizi)🤣🤣🤣🤣

*******************

KUPANGA NI KUCHAGUA!
 
Mi ndo nimetolea dokezo wanaotaka kuingia kwenye ndoa kisa ngono wajue hali ni tofauti.

Kuna uwezekano ndani ya mwezi ukaishia kumkumbatia na kumbusu tu.
Tatizo wanao ona wanawake ni malaika ni wabishi sana na hawataki kuelewa
 
Mwanamke anayechepuka kwa sababu ya kubadili ladha anakuwa na hulka ya umalaya,

Tunachepuka kwa kusababishiwa, niamini ukimpa mwanamke wako attention yako uwezekano wa kucheat Ni mdogo Sana au haupo kabisa,

Umenisikia wewe mwenye IQ ya bata
Facts👍
 
Mwanamke anayechepuka kwa sababu ya kubadili ladha anakuwa na hulka ya umalaya,

Tunachepuka kwa kusababishiwa, niamini ukimpa mwanamke wako attention yako uwezekano wa kucheat Ni mdogo Sana au haupo kabisa,

Umenisikia wewe mwenye IQ ya bata
Hakuna cha kusababishiwa wala nini. Acheni kutupakazia zambi
 
Asifiwe BWANA kwa kutuumba na mitizamo TOFAUTI.....

Utoe FEDHA za KUNYWA NA "MAJICHANO"....

Utoe FEDHA za "nyumba" ya WAGENI....

Utoe FEDHA za kumpa "BAKSHISHI".....

Utoe FEDHA ya NAULI arudi KWAKE.....

Uendelee "KUUTUNZA" kama MCHEPUKO....kumbuka unapokuwa kwenye NDOA na ukiwa mwenye KUJITAMBUA VYEMA basi USIRI utautanguliza...na hakuna SIRI YA "MICHEPUKO WENGI WA HOLELA"....

Right?!!!

Usisahau na kuweka FEDHA ya matibabu ya "GONO,CHLAMYDIA na GENITAL WARTS(marutu mizizi)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

*******************

KUPANGA NI KUCHAGUA!
Tatizo unafanya ngono zembe ndio yote hayo.....alafu mwanaume ukijiamin na kujipenda wala hutumii hela kuwapata hawa watu nakuambia. Kwanza mwanaume ukijielewa wanawake wataona kutembea na wewe ni kujitengenezea CV nzuri
 
download (1).jpeg
 
Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kweli kabisa,hii kitu unayowaambia wanaume walio kwenye ndoa wanaona kama unaweweseka ila sie bachelar tusio ishi na mwanamke yeyote ndio tunaujua ukweli wa wake zao na uchafu wao shida inakuja ukiwambia wahusika wanakuona muongo kisa sijui kusimamia kwao ukucha na uromantik wao ndio hudhani wake zao hawa cheat kumbe wangejua wanawake nao hutamani wanaume pia hupenda kubadilisha wanaume bila sababu kama sisi tufanyavyo wasingepinga
Sio kweli hii mkuu, kihisia hatufananu na hawa ndgu zetu wanawake, kusema nao wanataman kubadili wanaume kama sisi huo ni uongo kabisa. Hawajaumwa hivo mtoa mada kasema ukweli kabisa libido kwa mwanaume ni juu kuliko mwanamke mzee. Na mwanamke anaweza date na mwanaume mmoja kwa muda mrefu tofauti na sie macho juu juu mda wote kila mtu unamtamani.
Izo statement zako zinaaply kwa wanawake wachache na ni aslimia ndogo tu.
 
Kwenye puchu upo sahihi....ila kwenye libido endelea kujidanganya kwa taarifa yako wanawake ndio wanaongoza kwa kupenda ngono kuliko wanaume .

Sio tu kwenye ngono wanawake ndio wanao ongoza kwenye ulevi kuliko wanaume kama hujui

Ila sema yote hayo jamii imemficha mwanamke na kumuona hana hatia.ila ndani yake ni hatari
Huu uchunguz wa woman kupend ngn umetoa WAP mana nimenyimwa win ya 3 hiyi[emoji26][emoji26][emoji26]
 
Tafuta mwanamke unae muamini mpambanishe na Baharia alafu leta majibu. Yaani mzee kama wewe uliweza kumvua chupi unazani upo wewe pekeyako yani.....? Kwa sababu wewe una mpini wa dhahabu au sio....? Sawa lkn imani yako itakuponya
hajui kutoa game kwao siyo big deal kabisa
 
Mwanamke anayechepuka kwa sababu ya kubadili ladha anakuwa na hulka ya umalaya,

Tunachepuka kwa kusababishiwa, niamini ukimpa mwanamke wako attention yako uwezekano wa kucheat Ni mdogo Sana au haupo kabisa,

Umenisikia wewe mwenye IQ ya bata
hivi kwanini anabishana na wewe mhusika
 
Sio watu wanajiona mashujaa Kula wake za watu ...ila hapa wanaume tunawekana sawa ...maana Kuna wanaume wenzetu wapo ndani ya ndoa wanajinyima na kujizuia Kula mema ya nchi kisa kuwalindia heshima wake zao . Kumbe wake zao wapo busy kutembeza vitumbua vyao
Na vipi ile sharia usizini nishaul na hapa
 
Tatizo unafanya ngono zembe ndio yote hayo.....alafu mwanaume ukijiamin na kujipenda wala hutumii hela kuwapata hawa watu nakuambia. Kwanza mwanaume ukijielewa wanawake wataona kutembea na wewe ni kujitengenezea CV nzuri
🤣🤣Ha ha ha ha sawa "nyakanga"....
 
Back
Top Bottom