Jizazi [emoji15][emoji15][emoji15]Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Halafu kuna mtu anamuona baba yake kuwa na wanawake wengi ni katili angejua nadhani angefata nyao za baba yakeKwenye puchu upo sahihi....ila kwenye libido endelea kujidanganya kwa taarifa yako wanawake ndio wanaongoza kwa kupenda ngono kuliko wanaume .
Sio tu kwenye ngono wanawake ndio wanao ongoza kwenye ulevi kuliko wanaume kama hujui
Ila sema yote hayo jamii imemficha mwanamke na kumuona hana hatia.ila ndani yake ni hatari
Mara ngapi shemeji anakuambia amechoka?Sio kuishi tu nimeoa
Hapana hiyo ni tabia yako mkuu usiwasemee wanawake wote. Wapo wanawake wanaojiheshimu hata agombane vipi na mumewe hawezi kufanya ujinga huo.Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Sasa ni wanaume wangapi wanamuda wa kufanya hayo.....? Utakuta kunajanaume litakuja kukubishia haya unayo sema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Tatizo ukijichanganya mbaazi zinakuhusu. Mke wa mtu anatoka nje ya ndoa peku,mumewe anatoka peku.Aiseee sio mchezo....Ney anakwambia hauwezi kushindana na ulipotokea.
Hamna kitu kama hiko kwamba ukimpa mkeo attention ndio hata cheat huu ni uongo ambao wanaume wengi wamepigwa wanabaki kusema hawa viumbe wanataka nini?Wanawake saikolojia yetu inapenda sana kupewa attention, ili ujione nawe umo Basi Ni ile hali ya kutongozwa kutamaniwa machoni kwa wanaume, na hii inawazuzua sana wanawake wenye umri mdogo,, hivyo Basi km mume ndani hafanyi hizo mambo za kusherehesha mahaba(wenyewe mnasema kuwa romantic) mke akitoka nje akakonyezwa tu analowa na kuliwa fastaa,
Mi ndo nimetolea dokezo wanaotaka kuingia kwenye ndoa kisa ngono wajue hali ni tofauti.Hayo ni siri ya ndani mzee[emoji1][emoji1]
Waache waendelee kupigishwa kwata😂😂Wanajikuta wao ndio maromantic kushinda baba zao
Yani unabisha wakati we si mwanamke!!!Hapana hiyo ni tabia yako mkuu usiwasemee wanawake wote. Wapo wanawake wanaojiheshimu hata agombane vipi na mumewe hawezi kufanya ujinga huo.
Nilijua tu wanaume wa kujifanya wanawajua wanawake kushinda wanavyo jijua hawakosi........pamoja na wanawake wenyewe kukili lkn bado tu unabisha ni mahaba au...?Hapana hiyo ni tabia yako mkuu usiwasemee wanawake wote. Wapo wanawake wanaojiheshimu hata agombane vipi na mumewe hawezi kufanya ujinga huo.
Nyie mnasema mkishatuweka ndani tunajisahau lakini na nyie zile tashtiti za wakati unachumbia huwa mnazisahau kabisa, hapo mtachepukiana mpaka mtoane rohoSasa ni wanaume wangapi wanamuda wa kufanya hayo.....? Utakuta kunajanaume litakuja kukubishia haya unayo sema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ni ubwege tu 😂Nilijua tu wanaume wa kujifanya wanawajua wanawake kushinda wanavyo jijua hawakosi........pamoja na wanawake wenyewe kukili lkn bado tu unabisha ni mahaba au...?
Tafuta mwanamke unae muamini mpambanishe na Baharia alafu leta majibu. Yaani mzee kama wewe uliweza kumvua chupi unazani upo wewe pekeyako yani.....? Kwa sababu wewe una mpini wa dhahabu au sio....? Sawa lkn imani yako itakuponyaKuoa Malaya kuna leta haya yote