Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo dm tupange mipango ya ndoa mami usije ukaitwa malaya bure.Sio kweli
Hahha huniweziNjoo dm tupange mipango ya ndoa mami usije ukaitwa malaya bure.
Wacha dharau hizo wewe dogo, wewe kama umekimbilia kuoa una shida hujui kutongoza au huna fedha , tuache wenye meno tutafune mifupa kwanza.Shalom,
Ukweli ni dawa na acha tuwape dose, mwanaume akiwa akiwa na kazi rasmi na umri 30+ years kama hajaoa huyo ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa umri wa 27+ years huyo ni Malaya.
Sina Cha kuongeza ukibisha aidha ni Poyoyo au Malaya.
Ni hayo tu
Shukrani
Wadiz
Una mapembe au yako ipo kisogoni😂😂😂😂😂Hahha huniwezi
HahhaUna mapembe au yako ipo kisogoni😂😂😂😂😂
Kweli kabsaKwa hiyo unashabikia uhuni?Hutaki watu wawe ndoani.Halafu,kwani mtu akiwa kwenye ndoa inajificha?Vilevile,usiandike kwa kujishtukia.Mleta sledi katoa angalizo na wala hajamtaja mtu wala kumtolea mfano.
NAKAZIA HAPA.Moja ya alama ya jamii zenye umasikini wa hali na mali ni tabia ya kufuatiliana sana kwenye maisha binafsi na faragha za watu.
cc Mshana JrHata mtuite majina yote wala hatutooa ng'o, ila tutaendelea Kuwabandulieni Wake zenu hadi pale Dunia itakapogeuka.
Shalom,
Ukweli ni dawa na acha tuwape dose, mwanaume akiwa akiwa na kazi rasmi na umri 30+ years kama hajaoa huyo ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa umri wa 27+ years huyo ni Malaya.
Sina Cha kuongeza ukibisha aidha ni Poyoyo au Malaya.
Ni hayo tu
Shukrani
Wadiz