Mwanaume umri 30+ kama hajaoa ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa 27+ ni Malaya

Mwanaume umri 30+ kama hajaoa ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa 27+ ni Malaya

Shalom,
Ukweli ni dawa na acha tuwape dose, mwanaume akiwa akiwa na kazi rasmi na umri 30+ years kama hajaoa huyo ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa umri wa 27+ years huyo ni Malaya.

Sina Cha kuongeza ukibisha aidha ni Poyoyo au Malaya.

Ni hayo tu
Shukrani

Wadiz
Hivi kuoa au kuolewa ni lazima!?
 
Mleta mada sisi sio milima tutakutana na mkeo tuh na Uzi wa kimasihara utahusika
 
Shalom,
Ukweli ni dawa na acha tuwape dose, mwanaume akiwa akiwa na kazi rasmi na umri 30+ years kama hajaoa huyo ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa umri wa 27+ years huyo ni Malaya.

Sina Cha kuongeza ukibisha aidha ni Poyoyo au Malaya.

Ni hayo tu
Shukrani

Wadiz
Mapoyoyo wote ndio rafk zangu
 
Shalom,
Ukweli ni dawa na acha tuwape dose, mwanaume akiwa akiwa na kazi rasmi na umri 30+ years kama hajaoa huyo ni Poyoyo na Mwanamke ambae hajaolewa umri wa 27+ years huyo ni Malaya.

Sina Cha kuongeza ukibisha aidha ni Poyoyo au Malaya.

Ni hayo tu
Shukrani

Wadiz

Ukiona post kama hizi jua tu, ni madhara ya kuvipa vitoto vya Kidato cha pili simu.
Hivi vitoto vikibalehe vinajiona vinajua kila kitu, ILA baadae akikua, atagundua alipost upuuzi!
 
Back
Top Bottom