Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Lazima utakuwa unasimama kwa kutetema kama matete au mtama.Mi mironjo yangu iko kama mshale wa sekunde. Huu uzi haunifai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima utakuwa unasimama kwa kutetema kama matete au mtama.Mi mironjo yangu iko kama mshale wa sekunde. Huu uzi haunifai
Huvai kwasababu ya mguu kukomaa kumbee,binafsi navaa pensi lakini sio vile vipensi vinavyoishia mapajani.Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
uncle unakumbuka comment yako ya "malengelenge", nilicheka kama mwehuLazima utakuwa unasimama kwa kutetema kama matete au mtama.
Kumbe kuna hayo mashindano?
Mpwa sikumbuki bwana nikumbushe ebuuncle unakumbuka comment yako ya "malengelenge", nilicheka kama mwehu
Na huku juu mapajani ni matetekuwanga au matone ya maji?Kwahiyo huu wangu nao wa kishoga?? Duh
![]()
Sio mashindano bwana,hebu nawe tuma hizo fito zako.Kumbe kuna hayo mashindano?
Mweusi huyooNa huku juu mapajani ni matetekuwanga au matone ya maji?
Mkuu bora umeliona hilo,mwanaume kweli huonyesha uwezo wake kiumeni sio barabaraniSiku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Pa kuziona unaafahamu we endlea kujitoa ufahamuSio mashindano bwana,hebu nawe tuma hizo fito zako.
Pa kuziona ndio humu, zitume basi.Pa kuziona unaafahamu we endlea kujitoa ufahamu
Kuuumbe!hahaha wewe una wivu tu !binafsi mie huwa navutiwa kama mwanaume ana mguu wa pensi umepinda kidogo !awww!
Mlikuwa mnadiscuss habari za kuunguza accounts na dada ako espyMpwa sikumbuki bwana nikumbushe ebu
Ahahahhahahahcheck guu la bia hilo![]()
Huu ni wa bia? Au koka
HahahahahahaMzee acha tuvae tu pensi maana Dada zenu wanahusudu sana kuiona miguu yetu laivulaivu ikivyo sexy.
Wewe kama unavinyweleo kama katuni za bwana chezo huku kigimbi kimekujaa kama umefunga Gunzi kwenye mguu au betri la tiger niseme tu pambana na hali yako maana ni dhahiri pensi unatamani kuvaa ila miguu yako sio rafiki.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HahahaahahhahBora mianzi yangu. Kuliko zile champaigne zako. Hahaaa
Nimecheka sana ,,nilicoment nikawa naupita tu sikujua uzi umeendelea hivi