Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Broo Kama hauna Miguu ya kuvalia Pensi Kaa Kimya Tu, Maana Kukomaa kwa miguu au kuwa na makovu na minywele kibao sio ishara ya uanaume bana.
Pensi Pensi Tu na linavaliwa kila mahali ili mradi uwe naweza ku-match nalo kwa mwonekano.
Kama maisha umepitia magumu afu umejwa na makovu niwewe peke yako.
Kuna siku nimevaa pensi nipo katika daladala nimekaa na mdada mmoja for sure aliniomba mawasiliano hadi kesho nawasiliana naye kisa tu.
Kapendezewa na miguu yangu nilivyovaa pensi.
Jamaa yangu mke wake hataki jamaa avae pensi akiwa peke yake maana anasema anaona wivu haswaaaa.
Broo pensi zitavaliwa tu Kwa namna yoyote.
Unaweza ukawa mgumu na bado ukawa kama shoga tu.
Na unaweza uka soft na bado ukawa mwanaume wa shoka vile vile.
Sasa kama nyumbani mtu anapetiwa vizuri na mke wake atashindwaje kuwa soft?
Sometimes Wanaume wasiozijua Ndoa Wanamatatizo na stress za Ubachela
Mwambie mwambie bana!!
 
kuna watu sijui wanaakil gani wanafikiri kuwa na makovu miguuni ndio uanaume achen akili za kijinga

kunamtu nilibishana nae kwa sabab kama hizi ananiambia et mwanaume haez akatumia dk 10 adi 15 anaoga m nkamjibu kuoga dk 1 sio uanaume uo ni uchafu

achen akili zilizoganda
Inaonekana una mguu soft mkuu[emoji23]
 
Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi

Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga

Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi

Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Ushauri,

Kila mtu ana jinsi yake ya kuishi na anaishi kulingana na matakwa yake, aamue kuvaa pensi au suruali hiyo ni juu yake na maamuzi yake madam havunji tu miiko ya kimaadili. Wewe kuwa na miguu iliyokomaa wapo watu wanaokuona una ugoko kama mkia wa mamba na hufai kuvaa pensi, ila wanakukaushia tu maana kila mtu anapambana na hali yake. Na huo ndiyo uanaume na si kuchunguzana

Hivi mtoto wa kiume mwenye sifa zote za kuitwa mwanaume, unaanzaje kuchunguza mguu wa mwanaume mwenzio tena rijali eti upo soft. Hayo si yakina dada utafanyaje wewe?

Unathaminisha kabisa mguu wa dume mwenzio akivaa pensi, mtakuja kupima na urefu wa zipu zao kabisa huko mnapoelekea
 
Back
Top Bottom