Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Mdhungu ,,huo mguu kwa nyuma una supu za kutoshakama ya mbuzi, miguu ya nani hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdhungu ,,huo mguu kwa nyuma una supu za kutoshakama ya mbuzi, miguu ya nani hiyo?
Usiombe kuona mtu kavaa gupensi wa hivo bila boxa unaweza dhani kaficha nyanya humo ndani kumbe pmbNakojoaaaaaaaaaaa
Weeeeee khaaa!!Unaujua mguu wa kiume!!! Sio ile ya bia. Mgu wa kiume ule unatengenezwa na mazoezi kama una kigimbi fulani. Huo ndio unavutia. Sio ile ya bia imejazia mie inanikeraga tu
HhhhaaaaaaaUsiombe kuona mtu kavaa gupensi wa hivo bila boxa unaweza dhani kaficha nyanya humo ndani kumbe pmb
Mwambie mwambie bana!!Broo Kama hauna Miguu ya kuvalia Pensi Kaa Kimya Tu, Maana Kukomaa kwa miguu au kuwa na makovu na minywele kibao sio ishara ya uanaume bana.
Pensi Pensi Tu na linavaliwa kila mahali ili mradi uwe naweza ku-match nalo kwa mwonekano.
Kama maisha umepitia magumu afu umejwa na makovu niwewe peke yako.
Kuna siku nimevaa pensi nipo katika daladala nimekaa na mdada mmoja for sure aliniomba mawasiliano hadi kesho nawasiliana naye kisa tu.
Kapendezewa na miguu yangu nilivyovaa pensi.
Jamaa yangu mke wake hataki jamaa avae pensi akiwa peke yake maana anasema anaona wivu haswaaaa.
Broo pensi zitavaliwa tu Kwa namna yoyote.
Unaweza ukawa mgumu na bado ukawa kama shoga tu.
Na unaweza uka soft na bado ukawa mwanaume wa shoka vile vile.
Sasa kama nyumbani mtu anapetiwa vizuri na mke wake atashindwaje kuwa soft?
Sometimes Wanaume wasiozijua Ndoa Wanamatatizo na stress za Ubachela
Inaonekana una mguu soft mkuu[emoji23]kuna watu sijui wanaakil gani wanafikiri kuwa na makovu miguuni ndio uanaume achen akili za kijinga
kunamtu nilibishana nae kwa sabab kama hizi ananiambia et mwanaume haez akatumia dk 10 adi 15 anaoga m nkamjibu kuoga dk 1 sio uanaume uo ni uchafu
achen akili zilizoganda
Hahaaaaaa duuh!!....... wakaka please endeleeni kutuwekea miguu yenu mweeh
Ushauri,Siku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Nilicheka vibaya mnoHahahhaaa!! Akataka tugawane malenge lenge!
Post basiHahaaa nikipost guu langu humu, weeeee........sipati picha hizo imagination
Nililike tu nikapita na kicheko kikaliHahaha nimekumbuka bhana... ndiyo nikamuuliza hayo malengelenge tutayauguza wote?
Nshomile nione basi na wa kwakoHahaaaaaa duuh!!
Nione basi mweeehHahaaa nikipost guu langu humu, weeeee........sipati picha hizo imagination
Ahahahaaaaaa, kaamua awanyanyulie na suruali yake muuone vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani kaamua autundike kabisa mguu wenyewe sasa!!!
Miss you nataka shariAhahahaaaaaa, kaamua awanyanyulie na suruali yake muuone vizuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]