Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

42a395303217449f68d6e9fbaf577ed0.jpg
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Duuuu huuu mwaka vip aseee
 
Yani kajikunyata utadhani kakaa na mkwe kanichekesha hilo pozi, afu sijui yupo uchi ha ha ha
Ndiobanaonekana yupo uchi yaani mwanaume mzima unakaaje uchi hivyo unaonyesha nini ili iweje labda
 
Maninnner yani umetonga sokorobwinyo ukitembea peku hadi unapata barehe babako yupo katika mashamba ya miwa tuliani Maninnner utapata wapi usoft kigae umekikanyaga dar tena mlimani city ulipoenda kushangaa Maninnner wenzako jua hawakutani nalo kuanzia chekeche unategemea watakuwa na ngozi yako kama ya mamba??Una manyoya kama nguruwe pori then unakuja na uzi wakifarra kama huu kwa wivu wako unakaa chumba kama engine room jiko kitanda stoo vyote hivyo katika chumba cha futi 8 utegemee ngozi laini??lazima uwe kama kengee maisha yako ya nungu nungu usitake kuyafananisha watu hawajawahi kuamka asubuhi na kukosa chai sasa wewe asubuhi unaamkia mihogo ya mpira utaacha kuwa kama mamba kwendrrrraaa na harufu yako Sigara Kali
 
Back
Top Bottom