Senator Hans
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 600
- 377
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Sasa mapozi gani ayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Sasa mapozi gani ayo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] Duuuu huuu mwaka vip aseee[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
![]()
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Aisee mkuu japo ww ni mwanaume mwenzangu lkn siwezi lala na ww kitanda kimojaa [emoji13][emoji39]
Sasa ule uliotundikwa juu ya meza ni mzuri jamani??? Kuwa mkweli na ule wa kwanza mweusi utadhani umepakwa kiwi, mwenyewe kajikunja kwenye Kochi ha ha ha haKwa hiyo mnataka kusema kuwa ya wengine mibaya si watajisikia vibaya
Haha kama yule aunt yangu ndo karithi guu lako, basi no comment. Ukuje basi inbobo
HahahahahahaSasa ule uliotundikwa juu ya meza ni mzuri jamani??? Kuwa mkweli na ule wa kwanza mweusi utadhani umepakwa kiwi, mwenyewe kajikunja kwenye Kochi ha ha ha ha
Unaturusha rohoo
Kwa hiyo mnataka kusema kuwa ya wengine mibaya si watajisikia vibaya
Sasa ule uliotundikwa juu ya meza ni mzuri jamani??? Kuwa mkweli na ule wa kwanza mweusi utadhani umepakwa kiwi, mwenyewe kajikunja kwenye Kochi ha ha ha ha
Hahaha!, eti kama kiwi, hiyo ya kukaa mpaka wenzake wamesema eti kukaa gani huko...lol!
Ndiobanaonekana yupo uchi yaani mwanaume mzima unakaaje uchi hivyo unaonyesha nini ili iweje labdaYani kajikunyata utadhani kakaa na mkwe kanichekesha hilo pozi, afu sijui yupo uchi ha ha ha
labda jotrooooNdiobanaonekana yupo uchi yaani mwanaume mzima unakaaje uchi hivyo unaonyesha nini ili iweje labda
Yani kajikunyata utadhani kakaa na mkwe kanichekesha hilo pozi, afu sijui yupo uchi ha ha ha
Ndiobanaonekana yupo uchi yaani mwanaume mzima unakaaje uchi hivyo unaonyesha nini ili iweje labda
Labda alikua na guboxa, wamejua kutuvunja mbavu na milonjo yaoHahah!, labda na yeye alipandisha nguo juu!
Hawa wakaka lakini [emoji1]
Mwanaume akihisi jito anavua shati tu na sio kuacha tiako wazi[emoji23] Labda alisikia joto jamani!