Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

hahaha wewe una wivu tu !binafsi mie huwa navutiwa kama mwanaume ana mguu wa pensi umepinda kidogo !awww!
Afadhali, mie nachekwa na yangu, pamoja kuwa na makovu wanadai eti nimechukuwa ya mama!
Inaudhi mtoto wa kiume kuchukuwa miguu ya mama yake, inakera kwa kweli Inaudhi mtoto wa kiume kuchukuwa miguu ya mama yake, inakera kwa kweli via JamiiForums
WhatsApp Image 2018-01-04 at 14.33.41.jpeg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mboga saba lazima uonekane soft wewe mgumu endelea na ugumu wako siku pesa nyingi zikikutembelea utakuwa soft tu punguza jazba mkuu.[HASHTAG]#OnYo[/HASHTAG] usijichubue tu
 
Back
Top Bottom