Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

hakuna cha ajabu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana huyu akipiga mpira badala uende mbele utapinda kulia utoke kabisa nje ya uwanja
Hahahaahahahah
 
Hahaaaa mkuu tuache wenye miguu yetu bana, kama we hukupewa guu umepewa vingine, ridhika na ulichopewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…