fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
hakuna cha ajabuSiku hizi kuna ongezeko la wanaume kuvaa pensi fupi
Unakuta msela ana guu la bia halafu laini hata kovu hana anavaa pensi ujue anaonekana kama shoga
Mwanaume rijali kama mimi mguu umekomaa na una nywele kibao ziwezi kuvaa pensi
Nyie masela mnaovaa pensi mbele ya kadamnasi na hiyo miguu yenu soft mnatuaibisha wanaume wenzenu mnakua kama mashoga bhana .[emoji41] [emoji41] [emoji41]
We huwa una maneno ahahahahhMingine sio bia asee ni makopo ya BALTIKA
Yani kaamua autundike kabisa mguu wenyewe sasa!!!Nimecheka sana ,,nilicoment nikawa naupita tu sikujua uzi umeendelea hivi
Mi hui wa hapa unanifurahisha sana sijui kwaniniView attachment 668314
Hahahaahahahah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sana huyu akipiga mpira badala uende mbele utapinda kulia utoke kabisa nje ya uwanja
NakojoaaaaaaaaaaaDah hizi rim kiboko
Gupensi sasa!!!!
Huu ni wa bia? Au koka
Hata mi jamaaa kanishangaza sana aiseeeMwanaume kumchunguza mwenzio hadi kwenye miguu dah unapataje muda huo!Una pepo la kina James Delicious likemee kabla halijakutawala!
Wako upo wapiHahaaaa mkuu tuache wenye miguu yetu bana, kama we hukupewa guu umepewa vingine, ridhika na ulichopewa
Kuna kipensi nmepewa zawadi mwezi karibia wa tatu huu kipo uvunguni
Nimechekaa loYani kaamua autundike kabisa mguu wenyewe sasa!!!
We ni kafupiiView attachment 667530
Kimtindo!
Huu sio mwaka wa mabishano ,tafadhari rushaa haraka
Umenenepa lini wewe
Nasikia eti kauli hii ni ya KUZIMU.Maisha tu na style zake mkuu. Pambana na hali yako.
Huyu ndio mguu wake umekuwa maarufu kuzidi wote humu ndaniNaona ukavua kabisa na miwani ili uonyeshe guu guu.
Huyu ndio mguu wake umekuwa maarufu kuzidi wote humu ndani
kama ya mbuzi, miguu ya nani hiyo?Nimechekaa lo
View attachment 668320 eve hapa vepe ???