Mwanaume una mguu laini, unavaa pensi. Unataka tukuelewe vipi?

Wewe ushatoa sababu kwakua Mguu umekomaa una nywele huezi vaa ikimaanisha usingekua navyo ungevaa,acha wivu
 
Hahaha basi kwa style hii wacheza mpira saiv wataanza kuvaa suruali sio kaptura tena,waache wenzio wavae wanachojisikia
hahaaa ulipita huku...
naanza kuvua suruali haraka sana mabo yakuitwa gasho sitaki aisee
 
Ww unazani kila mtu amepitia maisha ya kuchoma mkaa na kuchimba chumvi..?
 
Mzee acha tuvae tu pensi maana Dada zenu wanahusudu sana kuiona miguu yetu laivulaivu ikivyo sexy.

Wewe kama unavinyweleo kama katuni za bwana chezo huku kigimbi kimekujaa kama umefunga Gunzi kwenye mguu au betri la tiger niseme tu pambana na hali yako maana ni dhahiri pensi unatamani kuvaa ila miguu yako sio rafiki.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kweli aisee hawana tofauti na wale wadada wanaijiuza pale sinza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…