Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Hii ikoje mkuu?Chukua Marriage-Scanner halafu mscan ujiridhishe kama kweli ni Mke wa mtu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ikoje mkuu?Chukua Marriage-Scanner halafu mscan ujiridhishe kama kweli ni Mke wa mtu?
Sikutoa posho mkuu; ningefanya hivyo ningekuwa nimemnunuaMkuu ujatwambia posho ya uchafuz ulimwachia Bei gan, au ulimla bure[emoji4]
Hapana,Sikutoa posho mkuu; ningefanya hivyo ningekuwa nimemnunua
Sikutaka kufanya hivyo mkuu; kwa sababu nataka nidumu naye kwa muda fulani ambapo atanufaika zaidi ya hivyo, kama atakuwa mvumilivu kwa muda. Kutanguliza malipo, kutasababisha kupata mtu 'fake' ambaye hisia zake zitakuwa zinapelekeshwa na malipo.Hapana,
Posho Ni muhimu mkuu,
Mwanamke kumla afu umeache mikono mitupu haijakaa sawa hata kidg
Ungemwachia ata elf 5 tu ya sabuni, inatosha. Sio umuache patupu kabisa.