Mwanaume unakunywaje lite?

Mwanaume unakunywaje lite?

Mkuu acha kujizalilisha, kumbe hujatembelea maeneo mengi kuna viwanja hizi local beer ni 7000
Mpaka nimeona aibu mimi,
Imebidi nimjibu ki ustarabu kabisa
 
Hennessy ni cognac,

Jagermaster ni liquor,

Sasa mbona mimi nazungumzia lite mkuu..
Embu kuwa logically Kwa post yako ,zote hizo ni pombe sasa wewe umedis wanywaji wa hiz pombe za lite.
Mimi natumia konyagi ila nawanunulia washkaji hata maji si vyema kuanza kupangiana kinywaji
 
Embu kuwa logically Kwa post yako ,zote hizo ni pombe sasa wewe umedis wanywaji wa hiz pombe za lite.
Mimi natumia konyagi ila nawanunulia washkaji hata maji si vyema kuanza kupangiana kinywaji
Kwani kuna sehem nimempangia mtu anywe bia gani?
Hilo bichwa lako ni mzigo
 
Maneno tu hayo hata kwenye kanga yapo.
Unakunywa lite . Uwanaume pesa sio kunywa tupombe tuwili umechoka hela huna.
Bucket 6 za serngeti lite na kitimoto. Mumsap apewe hennessy. Maisha yanaendelea. Sasa midume mmekaza mnakunywa lager eti ni uanaume. Mtakula sasa block na lager zenu.
Dogo Kuna watu tunaoiga safiri Hadi kerti tatu tena zile kubwa. Yaani ni weka toa weka toa.
 
Hichi kiwanja kishaingia PT,wacha nibadilishe chaka
20230509_003339.jpg
 
Mkuu mlainishie,hajui hata JD ni nini...

Jack Daniel...hizi ni za wanaume tu...
Lite kunyweni na dada zenu
Huwa tanywa jaki danieli na dada zetu. Issue ni kwamba. Lite tumekamilika na uanaume wetu na tunazigonga. Wewe thread yako imekaa kimbinu. Yaani unakunywa tuchuoa tu tatu unaenda kulala.
 
Wakulungwa,
Hivi serious unatoka unaenda agiza serengeti lite/castle lite/kilimanjaro lite na zingine zinazofanana na hizo?
Kweli?
Kweli?
Kweli?
Hata kama pesa ni yako, hizi lite si sawa na maji? Demu wako anywe lite na wewe lite? Si aibu hii?

Povu ruksa, Nishajikoki mabomu.
Ungenitupiapo hayo mabomu uliyokwisha kuset, Ningefurahi zaidi.
 
Back
Top Bottom