Nina mjomba angu mmoja ni mfupi kuliko wote kwao yuko 5ft kaoa mke 6.2" daah utafikiri mtu na mama yake 🤣Yani inakuwa kama mtu na mama yake akuuu sitaki hizo tabu mie
Umemisika
Huyu dada nae,kwanini kaongezea na mchuchumio😔[emoji116]
View attachment 2566564
Nipo bro,vp?Umemisika
Sikutii machoniNipo bro,vp?
Yani ile namna ya kumtizama tu ni dharau tosha, na muda mwingine waweza imagine km unamkoa hivi😂na ukute ana uparaNina mjomba angu mmoja ni mfupi kuliko wote kwao yuko 5ft kaoa mke 6.2" daah utafikiri mtu na *****🤣
Daah umejuaje?Yani ile namna ya kumtizama tu ni dharau tosha, na muda mwingine waweza imagine km unamkoa hivi😂na ukute ana upara
AiseeHata asingevaa huo mchuchumio bado ni mrefu kwa Mwanaume
Hata akiita hushtuki😂😂Daah umejuaje?
Ana upara na kitambi juu😂
Samahani kwa kuuliza huyo mkewe alimpendea nn mkuu 🤔Nina mjomba angu mmoja ni mfupi kuliko wote kwao yuko 5ft kaoa mke 6.2" daah utafikiri mtu na *****🤣
Daaaah unamuelezea mwl wangu wa chem A level yupo hivihivi 😅Yani ile namna ya kumtizama tu ni dharau tosha, na muda mwingine waweza imagine km unamkoa hivi😂na ukute ana upara