Mwanaume unatoa nyusi?

Mwanaume unatoa nyusi?


"BUNGENI, DODOMA: WABUNGE WALIOBANDIKA KUCHA NA KOPE MARUFUKU KUINGIA BUNGENI
Spika Job Ndugai amepiga marufuku Wabunge wenye kucha na kope za kubandika kuingia Bungeni huku akiendelea kuchukua maoni ya nini kifanyike kwa Waliojichubua"


Spika nae anashangaa shangaa,,hii ndio tabia ya Mtanzania halisi,kila kitu kwake kigeni,badala ya kukataza wanawake kuchichubua kitu ambacho kinaleta athari ya kiafya kwa mwaname,..

Spika anashangalia wanawake kujipamba,kila mwanamke anapenda kuonekana kapendeza,kucha,nywele,nyusi hata hao waliotushinda kimaendeleo wanawake zao wote wanabandika hivyo vitu....

Lazima watanzania tuheshimu uhuru wa mtu kujiamulia anachotaka kuvaa au kuweka katika mwili wake ilimradi hakina madhara yoyote katika afya yake
 
Heshima ya jinsia ya kiume inazidi kushuka kutokana na wanaume kutoka nje ya mstari wa uanaume wao!!!!:.....

Wanawake hawaoni tena uanaume kwa wanaume bali wanaona jinsi ya kiume kwenye taswira ya kike!!!...,.

Mwanaume anatakiwa awe hivyo hata kwa muonekano tu na sio kwa maumbile na sauti...moja ya muonekano huo ni ukakamavu Na ujasiri wa mwili na akili.....

Vijana wetu wanatakiwa kubadilika na kurudi katika mstari wa uanamume ili kuirudisha heshima inayopotea kwa kasi.....

Ukiona mpaka wanawake wenyewe wameanza kushangaa basi ujue mambo yamefikia pabaya
 
Huyo akikaa karibu yetu twaweza jisahau tukamchezea makalio

sisi ndo tuko hivi sasa.
Full%2Bbody%2Bblack%2BHair.jpg
hahaahaha
 
Mimi Niko huku shinabulandi hata kioo kwangu sina, maana mwanaume anaye kijua kioo huyo katokea sengerema.
Mkuu kua msafi ni wajibu wa kila binadamu ila usipite mipaka mpaka yakutoa nyusi mwanamme mzima..
 
hahahahahha baby mbona mie hizi zangu hujawahi niambia nitoe?

vibaya hivyo ujue kila wakati unapenda kuzichezea hata huniambii kuwa huwa zinatolewaga

ukirudi jioni na mimi unipeleke huko wanakoita Wax pls
Just because you're beautiful and perfect.

Ndio maana Hata sijasema kuhusu kutolewa huko.
 
Mkuu sijakereka,niko hapa kueleweshana,mtazamo wetu watanzania ni mtizamo wa njia moja,kumbuka hatuwezi sote kuwa sawa,...nilichokiona mimi Watanzania tuna upeo mdogo sana wa kuheshima watu wengine na maisha yao,,tunapenda kushangaa na kukandia wengine bila ya sababu za msingi..

Hatuwashangai Wamasai kwasababuu tumewazoea,lakini kuna watu wengie wa Afrika Magharibi wanawaona wamasai watu wa ajabu sana..

Je ulikuwa unajua kuwa kabila la Kimasai mwanamme ndio anajipamba ili kumvutia mwanamke!?je kwako si ajabu hiyo,,Tujifunze kuwaheshimu watu wanavyoishi..

Mkuu wifi yangu ni Mmasai na sijaona mmasai mwanamme akitoa malaika na wala kutoa nyusi,ni kweli hatuko sawa ndio mana nikasema huyu nilomuona mimi hajaelekea kua shoga ila alivyo fanya ndio vimenishangaza,tuishie hapa huenda nakukera sana manake sio kawaida.
 
Ila hata mdada kufanya waxing pia unakosea,japo huyo shemale ndio kakosea mara kumi zaidi, vinyweleo vina kazi yake mwilini,ikiwa ni kuifanya ngozi yako ipumue na kuzuia baadhi ya bakteria kuingia mwilini mwako,pia huzuia miale ya jua yenye nguvu Kali kuingia mwilini mwako,ingawaje kibongo bongo huwa hatutakag kujua hayo mpaka siku ukianza kupatwa na magojwa ya ngozi ndio utaelewa kuwa kumbe hata kama una vinyweleo kama nguruwe vina kazi yake na umepewa vingi kulingana na nature ya ngozi yako

Mkuu ni kweli maneno yako ila kuna wengine ukiziacha ni shidaaaa unakua mwili una nywele kama mtoto wa nyaniii hua sipendi kabisaaaaaaaaaaa.
 
Mkuu wifi yangu ni Mmasai na sijaona mmasai mwanamme akitoa malaika na wala kutoa nyusi,ni kweli hatuko sawa ndio mana nikasema huyu nilomuona mimi hajaelekea kua shoga ila alivyo fanya ndio vimenishangaza,tuishie hapa huenda nakukera sana manake sio kawaida.
Kujipamba sio ushoga,kuna mila nyengine wanaume ndio wanajipamba,wanawake wa kimasai kimila nywele zao zinakuwa fupi wanaume ndio wanajipamba kwa nywele refu zinazosokotwa,wanavaa herini nk,....ushishangae mambo ya watu yashangae yako,maisha ni mafupi sana,muda unakimbia kama upepo kama utashangaa shangaa ya watu,utachelewa kufanikiwa
 
Kujipamba sio ushoga,kuna mila nyengine wanaume ndio wanajipamba,wanawake wa kimasai kimila nywele zao zinakuwa fupi wanaume ndio wanajipamba kwa nywele refu zinazosokotwa,wanavaa herini nk,....ushishangae mambo ya watu yashangae yako,maisha ni mafupi sana,muda unakimbia kama upepo kama utashangaa shangaa ya watu,utachelewa kufanikiwa

Unajikera bure ivoo,mila za wengine hazinishughulishi na nimesema mapema inaweza kua umenijibu kwa haraka bila kusoma ukaelewa, nimeongelea wa TZ wengine ni wao,nywele ndefu fupi size ya kati haini shughulishi mie na wala sio nnalo liongelea, ila basi nimesha kuelewa wala usijitabishe.
 
thanks lavuu

Nakupenda sana tena sana, vile unanikubali vile nilivyo inaongeza upendo wangu kwako

It’s not the clothes that make you look beautiful. It’s YOU that make the clothes look beautiful.


i love u 2.
 
Lazima watanzania tujifunze na tufahamu Uhuru wa kujiamulia ili uishi maisha yako unavyotaka,...inabidi tujue mambo matatu katika dunia kuna kuzaliwa,kuishi na kufa....wasia wangu msiwe washamba wa kushanga shangaa kila kitu,kila mtu ana maisha yake ni vizuri kuishi kwa furaha kufanya kile unachokitaka kabla mauti hayajakufika....."wekeni hakiba ya maneno"
acha kusapot ujinga wewe hakuna uhuru bila mipaka vinginevyo ni vurugu, ujinga na matatizo kwa jamii yote, ujinga wako pekeakp utaleta balaa kwa jamii yote. kila nchi ina sheria zake. kwa hiyo we ukitaka uwe shoga basi serikali na jamii isikuchukulie hatua, unaenda ofisi za umma unavaa unavyotaka wewe haiwezekani fuata tamaduni na kanuni zilizopo.
 
Back
Top Bottom