Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Hakyamama tena hazifuiSteel-wire zitafua dafu!![emoji276]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakyamama tena hazifuiSteel-wire zitafua dafu!![emoji276]
Subiri nawekaWEKA PICHA
Ukiweka biashara ambayo wanunuzi wakubwa ni wanawake lazima wakufilisi,Jamaa alikuwa anaitwa S ilikuwa kwa siku kuondoka na 100000 au 150000 kawaida tu
Alafu bado watu walikuwa hawajajingiza
Kwenye kazi syo kama sahv wasambaa kibao wanawasugua miguu na kutengeneza kucha wadada
Sema ile kuwala wala ilimuaribia kazi maana wadada wakawa wanatengeneza bure au kutoa pesa duskooo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hawa wazee wa Pwani wanavi-principle flani uchwara lakini vina-make sense sometimes.Ukiweka biashara ambayo wanunuzi wakubwa ni wanawake lazima wakufilisi,
Mwanamke yupo tayari kuliwa na muuza biringanya ili mradi tu apewe biringanya bure, yaani ile Ubure kwake hua inathamani kuliko mwili wake,
Ndio maana wazee wa Pwani hua hawaruhusu wake zao na mabinti zao waende Sokoni, huko utakuta muuza nyama, muuza samaki, muuza mchele, muuza nazi, muuza embe na ubuyu, wote wanajipigia mwanamke mmoja na huyo mwanamke anajionea sawa ili mradi tu akienda na pesa sokoni ilirudi na vifaa apate.
Hakyamama tena hazifui
Mke sasa sindio huyu jamaaniHahaha wakati tunakua tukienda likizo pale nyumbani kwa bibi kulikua na jiwe la kusugulia miguu nyumbani, kipande cha gome la mti kwaajili ya kusugulia kucha! Mimi huwa nanunua vifaa nasugua mwenyewe nyumbani
Siku hizi sio wanawake tuu... hata wanaume wako kwenye foleni za kuoshwa miguu
Mcheps uko vyedi
Yeuyeeeeee😘😘😘Mcheps uko vyedi
Yaani kama nakupenda sio kukuosha kucha tu nakuogesha kabisa na nakupaka mafuta mimi.
Kwa mitego hiyo unajikuta unarusha kwanza ki1 kisha zoezi linaendelea
Watu na Jf zao bhana , kuna watu wanajua swags aiae, kama huyu mmmmh nadhani jamaa yetu anapata fulu shangwe ukoYaaalaaah hadi nimerembua mimacho ....[emoji12]
Kupendwa rahaa weeyeee bin utamu kunoga.
Watu na Jf zao bhana , kuna watu wanajua swags aiae, kama huyu mmmmh nadhani jamaa yetu anapata fulu shangwe uko
[emoji2297]Jamaa yuko loki dauni amemisi hizi shangwee mnoo.
Anajifukiza kila uchao apone aje ayapate mautamu na amsha amsha za Bi. Kasie [emoji12]
Itakua tu kama kupakwa rangi sitahisi chochote.Sikhu uoshwe nyayo ulete mrejesho![emoji276]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nina video kabisa lakini inagoma kutuma,,
Hao jamaa wa kupaka kucha anamsuguwa miguu huku anatongoza.
Mwisho wa mchezo ,,mwanamke anajikojolea hapo hapo
Ntakufanyia ucjl [emoji23][emoji23][emoji23]Mie napenda sana kuhudumiwa.
Ikiwa utanifanyia wewe, ntatoa ushirikiano wooote [emoji3526]
Na kama una mguu wa bia dah utanimaliza kweliMie napenda sana kuhudumiwa.
Ikiwa utanifanyia wewe, ntatoa ushirikiano wooote [emoji3526]
Itakua tu kama kupakwa rangi sitahisi chochote.