Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

Mwanaume unaweza kukubali mkeo aoshwe miguu na kusuguliwa kucha na vijana wengine?

Jamaa alikuwa anaitwa S ilikuwa kwa siku kuondoka na 100000 au 150000 kawaida tu
Alafu bado watu walikuwa hawajajingiza
Kwenye kazi syo kama sahv wasambaa kibao wanawasugua miguu na kutengeneza kucha wadada
Sema ile kuwala wala ilimuaribia kazi maana wadada wakawa wanatengeneza bure au kutoa pesa duskooo [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ukiweka biashara ambayo wanunuzi wakubwa ni wanawake lazima wakufilisi,
Mwanamke yupo tayari kuliwa na muuza biringanya ili mradi tu apewe biringanya bure, yaani ile Ubure kwake hua inathamani kuliko mwili wake,

Ndio maana wazee wa Pwani hua hawaruhusu wake zao na mabinti zao waende Sokoni, huko utakuta muuza nyama, muuza samaki, muuza mchele, muuza nazi, muuza embe na ubuyu, wote wanajipigia mwanamke mmoja na huyo mwanamke anajionea sawa ili mradi tu akienda na pesa sokoni ilirudi na vifaa apate.
 
Ukiweka biashara ambayo wanunuzi wakubwa ni wanawake lazima wakufilisi,
Mwanamke yupo tayari kuliwa na muuza biringanya ili mradi tu apewe biringanya bure, yaani ile Ubure kwake hua inathamani kuliko mwili wake,

Ndio maana wazee wa Pwani hua hawaruhusu wake zao na mabinti zao waende Sokoni, huko utakuta muuza nyama, muuza samaki, muuza mchele, muuza nazi, muuza embe na ubuyu, wote wanajipigia mwanamke mmoja na huyo mwanamke anajionea sawa ili mradi tu akienda na pesa sokoni ilirudi na vifaa apate.
Hawa wazee wa Pwani wanavi-principle flani uchwara lakini vina-make sense sometimes.
 
Hahaha wakati tunakua tukienda likizo pale nyumbani kwa bibi kulikua na jiwe la kusugulia miguu nyumbani, kipande cha gome la mti kwaajili ya kusugulia kucha! Mimi huwa nanunua vifaa nasugua mwenyewe nyumbani
Siku hizi sio wanawake tuu... hata wanaume wako kwenye foleni za kuoshwa miguu
Mke sasa sindio huyu jamaani
 
Back
Top Bottom