Mwanaume unawezaje kujiua kwa ajili ya wivu wa mapenzi?

Napenda kula chips kuku sana bt kuna siku nilitendwa kile chakula nilikiona mdomoni ni mataka taka nikashindwa,mapenz yanauma sana sana jamani
 
Mapenzi ni hatari ndugu yangu,ndio sababu dume zima linaweza kushauriwa na hawara kunya hadharani na likafanya hivyo.
 
Mapenzi Ni Upofu,.. Dr. Kakiacha Chama Chake Alicho Hangaika Nacho Miaka Mingi,.(sembuse Kujitoa Roho).
 
Mi nadhani kikubwa kinakuwa ni hasira na kuyumba kisaikolojia[snapped] vinginevyo mtu akiwa na rafiki mzuri na akawa sio msiri kwenye mambo yanayomtatiza kama hayo ya ndoa mtu hawezi kujiua.
Kula Tano kaka/dada na LIKE za kutosha. Haya mambo ni magumu sana na hayana majibu mepesi na ya moja kwa moja. Hasira inahusika kwa kiasi kikubwa sana na hekima ikikosekana kidogo tu, matokeo yake ni kuumizana na hata kifo, either kwa msaliti/msalitiwa au hata kwa wote. Kuyumba nako haswa pale unapokosa wa kukusikiliza na kukushauri, loneness is a B!T<H!!!
 
Uwezo wa kufikiri unapoishia ndio anaamua kufanya vitu kama hivyo
 
Pole sana , hayo ni madhara ya kutokujizoesha akilini kusalitiwa.
Ni bora utengeneze mauaji yenye picha ya natural death kwa mzinzi wako na mkeo kuliko kujiua mwenyewe au kuua hadharani ukaishia magereza.
 
Kujiua ni hatua ya mwisho ya maamuzi ambayo tunasemaga bado hayatoi solution ya tatizo ..
Lakini naamin kuna vtu kadhaa vnaweza kupelekea mtu kufanya maamuz kama hayo ikiwamo imani ya kumuamin mke/mpenz wako 100% hawez kukusaliti kama vile malaika sasa ikitokea kinyume chake ndo unajikuta umejiweka kitanz au sumu
Pia kuruka steji za ujana nayo inachangia unakuta mtu mwanamke wake wakwanza ndo mkewe na huyo mkewe tyr kashakuwa na vdume c chin ya 5 so ushamba wa mapenz inaweza ikamfikisha mtu katk maamuz hayo
Pia nature ya makabila kuna baadhi ya makabila kujiua kisa mapnz kwao ni kama sunnah
.. Ila mi naamin ukiamin kwamba unaweza nje ya mke/mpnz wako huwez fikia maamuz kama haya ..
 

Hahaha inakuwa kama vile umewaolea wenzako ,ogopa sana kupata mke shamba la Bibi.
 
hizo tabia za wachaga ni wapuuzi mno kwenye mapenzi wanachojua ni kutafuta pesa tu
 
very pity. Naamini ukiwa unajichanganya na jamii na kuwa muwazi kwa close friends maamuzi kama hayo unaweza kuepuka nayo.
 
Ni upumbavu tu na ulofa kujiua kisa watu wanakugongea.
 
temea mate chini.. kupenda ni jambo lisiloweza kuelezeka. omba mungu yasikupate kwa mtu unayempenda na kumuamini kwa kiasi kikubwa. UNAWEZA KUUA ACHA KUJIUA. YALIWAHI KUNITOKEA LKN NAMSHUKURU MUNGU , ALIWEZESHA MALAIKA WANGU KUNIZUIA SIKUFANYA MADHARA YEYOTE.
 
Tuuh nimetemea ndugu yangu, sitaki yanikute lakini, nilitatizika sana.

Bro H. alizikwa sikuweza kuhudhurua nilipatwa na hisia mchanganyiko, phobia na hasira.

Napenda kupata maoni yenu wanaume tufanye nini ili kuzuia hii hali kisaikolojia.
 
"Mithali 16:32Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa, mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule autekaye mji."
- Mtu anayeweza kuizuia hasira, mbali na kufanyiwa vitu vya aibu na dharau, maandiko matakatifu yanampa dalaja la juu kupita shujaa, na kupita komandoo. HASIRA, ikikutawala unaishia kujiua.
- Kwa hiyo mtu anayejiua kwa wivu wa mapenzi ni matokeo ya hasira kumtawala. Mungu asaidie tuitawale hasira.
 
Napenda kula chips kuku sana bt kuna siku nilitendwa kile chakula nilikiona mdomoni ni mataka taka nikashindwa,mapenz yanauma sana sana jamani
Nimecheka kama mazuri pole mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…