Kwa hiyo ulikuwa unalala lodge na mkeo?!Kwa sisi tuliooa WACHAGA,
Suala la kulala ukweni ni MARUFUKU! Yaani SAHAU!
Kwanza binti akishaolewa, YEYE mwenyewe haruhusiwi kulala kwao, sembuse wewe??
Mimi alifariki baba mkwe, nililala lodge wiki nzima. Kila siku naenda msibani asubuhi, usiku narudi lodge kulala.
Mkuu kukaa ukweni hata mie siwez kabisa... Sijui kwanini huwa sipendi...nikikaa sana massa matatuHilo neno la mwisho linaharibu utamu wa maudhui uliyotoa hapo mkuujuu yaani hapo umeonesha ww ni mwakilishi wa hao wanaokaa ukweni.
Back to the point kwakweli binafsi ukweni labda uwe ni msiba mzito ndo unaweza kuniweka siku3 kinyume cha hapo ni siku mbili au moja nasepa tena nitarudi huko baada ya muda mrefu kupita kama hakuna shida yoyote
Sentensi fikirishi kila mtu anajibu kichwani, malizia sentensi yako mkuuMie ba mkwe wangu hata nikikaa siku 3 tu hawezi kuniacha niondoke hivihivi
Wengine hata msosi tunakua hatuna habari naoukweni unakaa masaa mawili matatu ukisubiri msosi tu
ukishakula unatembea
Duuu ujaoa wwukweni unakaa masaa mawili matatu ukisubiri msosi tu
ukishakula unatembea
Mchaga mwamba kabisaMwenyeji wa mikoa ya Pwani au Zanzibar?
Avae bukta ndefu au suruali. Aweke taulo begani.Sasa afanyejeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee na mama mkweo mna lenu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nimeoa njombe, huwa naitwa jioni na mama mkwe naenda Kuota moto!! Ukweni ni kwenu pia!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiiiAvae bukta ndefu au suruali. Aweke taulo begani.
Sasa yeye anafunga taulo halafu kifua wazi.
Mama mkwe yupo na mashemeji wa kike. Inatia kinyaa
Wamezipata kwa kuzisoma hapaNawapa pole sana!
Sio mchezo.Mchaga mwamba kabisa
Kuwa uyaone baba watu mwaka wa kumi huu na kazini unapiga stori na wewe mwenye nyumba na mtaani natoka nimejifunga khanga watoto shikamoo nyingi huku nasugua meno na mswaki wangu wa jero maisha hayakupi unachotaka,Maisha kama mapenzi hayana fomula.SIjui mila desturi na taratibu za makabila mengine. Ila ukweli hata kama umeoa kwenye familia ya kitajiri kwenda kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili aisee unajidhalilisha.
Mzee wangu aliniambia ukikaa ukweni siku mbili zinataosha sana ya tatu unaondoka hii ni kwamba usijue maisha yao na wao wasijue mipango yako. Ukikaa sana ukweni kuna siku utatumwa chumvi dukani uone wanakudharau kumbe mipango yako sio.
Chini ya hili jua kuna wanaume achilia mbali kwenda kusalimia ukweni, wapo ambao wanaishi ukweni. Na hapo mtu anahitaji haishimike. Aisee ukiona unaishi ukweni na mwanamke anakuheshimu wee jamaa hata mbingu ni yako. Nawasilisha.
Asante.Kuwa uyaone baba watu mwaka wa kumi huu na kazini unapiga stori na wewe mwenye nyumba na mtaani natoka nimejifunga khanga watoto shikamoo nyingi huku nasugua meno na mswaki wangu wa jero maisha hayakupi unachotaka,Maisha kama mapenzi hayana fomula.
Unakaaje siku nzima ukweni mnaongea niniUnafanya nini?Siku moja pia ni kubwa