Mwanaume unawezaje kukaa ukweni zaidi ya wiki mbili?

Kwa hiyo ulikuwa unalala lodge na mkeo?!
 
Mi nimeoa njombe, huwa naitwa jioni na mama mkwe naenda Kuota moto!! Ukweni ni kwenu pia!
 
Mkuu kukaa ukweni hata mie siwez kabisa... Sijui kwanini huwa sipendi...nikikaa sana massa matatu
 
Sasa afanyejeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Avae bukta ndefu au suruali. Aweke taulo begani.
Sasa yeye anafunga taulo halafu kifua wazi.
Mama mkwe yupo na mashemeji wa kike. Inatia kinyaa
 
Avae bukta ndefu au suruali. Aweke taulo begani.
Sasa yeye anafunga taulo halafu kifua wazi.
Mama mkwe yupo na mashemeji wa kike. Inatia kinyaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii
 
Mimi ukimuoa Dada yangu alafu uje kulala kwetu siku 1 tu nikikukosakosa sana nakupiga mitama siyo chini ya 15 na makofi ya kutosha.

Ila nikija kuoa kwenu nakuja kulala hapohapo kwenu na ukileta mazoea nakukanda mbele ya dada yako
 
Kuwa uyaone baba watu mwaka wa kumi huu na kazini unapiga stori na wewe mwenye nyumba na mtaani natoka nimejifunga khanga watoto shikamoo nyingi huku nasugua meno na mswaki wangu wa jero maisha hayakupi unachotaka,Maisha kama mapenzi hayana fomula.
 
Kuwa uyaone baba watu mwaka wa kumi huu na kazini unapiga stori na wewe mwenye nyumba na mtaani natoka nimejifunga khanga watoto shikamoo nyingi huku nasugua meno na mswaki wangu wa jero maisha hayakupi unachotaka,Maisha kama mapenzi hayana fomula.
Asante.
 
Kume JF nzima watu mmeoa na kuolewa? Mnatuzingua wengine kataa ndoa kumbe mna wake/waume😀😀, alafu kwenye mada zetu pendwa za kula tunda kimasihara tuko pamoja wazee mnafeli wapi😀.

Na wengine tuko jukwaa moja la pisikali, kumbe kaoa, oyaa wanandoa mnazingua mjue?,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…