Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ngozi wanaziweza Wahuni tu wakishakula Bangi zao hawajali ni wa mtu au ni wa Nyani anapigwa Pumbu safi kabisa
Kuliko hivi bora atembee nae kabisa. Mke wa mtu amua moja, fanya nae ngono au achana nae, sio unaplay around, ukidakwa haitajalisha kuwa hujawahi kumla, kwanza hutoaminika kwamba hujatembea nae.Mpotezee hivyo hivyo mzee ........komaa na neutral mzee mwendo wa fake promise tu katapunguza tu kiherehere kataachia nanga t...
Vyakula vya Wahuni hivyo Wahuni wanatembea na code ni marufuku kuchat kawaida na mke wa mtu usithubutu (hata WhatsApp sio Salama kwako maana ni kawaida inaacha Namba kwa hio ukichat nae WhatsApp haupo Salama WhatsApp sio mtandao wa Siri), chat nae kwenye social media tu mfano secret chat za telegram hii haiachi Namba ndio njia Salama zaidi kwako, ukimaliza unapiga self destruct (code ya Wahuni) usipige simu kawaida usithubutu hata siku 1 subiri apige yeye kwenye call za social media (telegram call ndio fungakazi haiachi Namba) usiongee wewe subiri aongee yeye yaan yeye siku zote ndio inabidi aanze yeye wewe unamaliza mchezo mfano atakupa maelezo Jamaa lini yupo lini hayupo usijitangulize mbele na hisia zako ishi na ishia km KOBE full kujihami na mwendo wa KINYONGA km anapiga GwalideUtakuja kukamatwa na hujatembea nae. Amua moja, tembea nae au achana nae. Kutumiama sms za mapenzi na mke wa mtu zinabaki hapo kama ushahidi ila hufanyi naye mapenzi hiyo ni akili ya kijinga kuliko anayetembea na mke wa mtu.
Na kweli inabidi uwe mhuni na mjanja, Sio unachat sms za mapenzi na mke wa mtu ila humli.Vyakula vya Wahuni hivyo Wahuni wanatembea na code marufuku kuchat kawaida na mke wa mtu usithubutu, chat nae kwenye social media tu mfano secret chat za telegram ukimaliza unapiga self destruct (code ya Wahuni) usipige simu kawaida subiri apige yeye kwenye call za social media (telegram ndio fungakazi haiachi Namba) usiongee subiri aongee yaan yeye siku zote inabidi aanze yeye wewe unamaliza mchezo usijitangulize na hisia zako ishi na ishia km KOBE full kujihami
Hao wanaliwa na Wahuni TU, km wewe SIO Muhuni huwezi Kula mke wa MTUNa kweli inabidi uwe mhuni na mjanja, Sio unachat sms za mapenzi na mke wa mtu ila humli.
😂😂watu mna maneno mbofuBinti analilia mti nyama dadadekiii...
Ndio anataka kupigwa Paipu kitu kimeshashika Moto ushatekenya mafuta kifuatacho ni kukanyaga mafuta😂😂watu mna maneno mbofu
Hakika 😂😂😂Umenifanya nicheki sana usiku huu, watanzania wengi ni vichaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Haha kuna wapuuzi wengi wanamshauri apite na mke wa mtu. Mimi nitawasaidia kuwanunulia kilainishi.Kanuni ya waswahili ni ileile!
"Ukila na wewe utaliwa"
Pita name pia kama vipiVipi kuhusu mumewe..??
🤣🤣🤣🤣Unapataje Mkosi kama unayemgongea ni kiongozi wa ccm au serikali?
Anamjaza,mwache ajae tu."La msingi ushauri wangu kwanza usimle. Suala la pili mtafute mume wake mchane mueleze azma yako ya kutotaka kumchapia mke wake lakini upande mwingine athari unazohofia kupata kibiashara kwa kuendelea kumkataa kisha muombe mfanye mpango iwe kama jamaa anawafumania. Namna hiyo ni rahisi kusitisha hadithi ya kukutaka bila kuathiri suala la biashara."
Yaan wewe ndio unataka kumtafutia jamaa majanga, amtafute mume wake serious! 🤔
Akitembea nae mzee akamganda kama ruba?Kuliko hivi bora atembee nae kabisa. Mke wa mtu amua moja, fanya nae ngono au achana nae, sio unaplay around, ukidakwa haitajalisha kuwa hujawahi kumla, kwanza hutoaminika kwamba hujatembea nae.
Humu jf kuna watu wana akili kama midoli eti na yeye katoa ushauriYaani hapa na wewe unajiona umetoa ushauri?
Ndio mkuu, Kutembea nae ni hatari na kuplay around ni hatari na ujinga. Sawa na mtu anayehonga pesa ya kodi na aliyekopa pesa ya kodi kwa riba halafu akaihonga. Wote wahongaji ila kuna mhongaji halafu mjinga.Akitembea nae mzee akamganda kama ruba?
Asitembee nae ....aachane nae nakuunga mkono...