Mwanaume usije thubutu kutembea na mke wa mtu

Mpotezee hivyo hivyo mzee ........komaa na neutral mzee mwendo wa fake promise tu katapunguza tu kiherehere kataachia nanga t...

akomae na mume wake huko asikuletee balaa Bure mwamba ...
 
Utakuja kukamatwa na hujatembea nae. Amua moja, tembea nae au achana nae. Kutumiama sms za mapenzi na mke wa mtu zinabaki hapo kama ushahidi ila hufanyi naye mapenzi hiyo ni akili ya kijinga kuliko anayetembea na mke wa mtu.
 
Mpotezee hivyo hivyo mzee ........komaa na neutral mzee mwendo wa fake promise tu katapunguza tu kiherehere kataachia nanga t...
Kuliko hivi bora atembee nae kabisa. Mke wa mtu amua moja, fanya nae ngono au achana nae, sio unaplay around, ukidakwa haitajalisha kuwa hujawahi kumla, kwanza hutoaminika kwamba hujatembea nae.
 
Utakuja kukamatwa na hujatembea nae. Amua moja, tembea nae au achana nae. Kutumiama sms za mapenzi na mke wa mtu zinabaki hapo kama ushahidi ila hufanyi naye mapenzi hiyo ni akili ya kijinga kuliko anayetembea na mke wa mtu.
Vyakula vya Wahuni hivyo Wahuni wanatembea na code ni marufuku kuchat kawaida na mke wa mtu usithubutu (hata WhatsApp sio Salama kwako maana ni kawaida inaacha Namba kwa hio ukichat nae WhatsApp haupo Salama WhatsApp sio mtandao wa Siri), chat nae kwenye social media tu mfano secret chat za telegram hii haiachi Namba ndio njia Salama zaidi kwako, ukimaliza unapiga self destruct (code ya Wahuni) usipige simu kawaida usithubutu hata siku 1 subiri apige yeye kwenye call za social media (telegram call ndio fungakazi haiachi Namba) usiongee wewe subiri aongee yeye yaan yeye siku zote ndio inabidi aanze yeye wewe unamaliza mchezo mfano atakupa maelezo Jamaa lini yupo lini hayupo usijitangulize mbele na hisia zako ishi na ishia km KOBE full kujihami na mwendo wa KINYONGA km anapiga Gwalide
 
Na kweli inabidi uwe mhuni na mjanja, Sio unachat sms za mapenzi na mke wa mtu ila humli.
 
Na kweli inabidi uwe mhuni na mjanja, Sio unachat sms za mapenzi na mke wa mtu ila humli.
Hao wanaliwa na Wahuni TU, km wewe SIO Muhuni huwezi Kula mke wa MTU

Nyama ya Bata sio kila mtu anaila wengine Bata anavyocheza na maji machafu basi nyama yake wanagoma Kula Ila Wahuni wanakukunjia fresh kabisa Bata analiwa safi kabisa km Bata hajanywa maji ya CHOONI tangu anatotolewa vile
 
Reactions: Tsh
Aisee, ila watu tunatofautiana sana. Kwangu mimi mwanamke ni mwanamke. Awe singo au ameolewa.
 
Anamjaza,mwache ajae tu.
 
Kuliko hivi bora atembee nae kabisa. Mke wa mtu amua moja, fanya nae ngono au achana nae, sio unaplay around, ukidakwa haitajalisha kuwa hujawahi kumla, kwanza hutoaminika kwamba hujatembea nae.
Akitembea nae mzee akamganda kama ruba?
Asitembee nae ....aachane nae nakuunga mkono...
 
Reactions: Tsh
Akitembea nae mzee akamganda kama ruba?
Asitembee nae ....aachane nae nakuunga mkono...
Ndio mkuu, Kutembea nae ni hatari na kuplay around ni hatari na ujinga. Sawa na mtu anayehonga pesa ya kodi na aliyekopa pesa ya kodi kwa riba halafu akaihonga. Wote wahongaji ila kuna mhongaji halafu mjinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…