Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,485
- 13,693
LIMSHANA umeona lilaleta ujuha wakeSio utekwe na vijana kama wa kiluvya halafu uanze kulia
Inatakiwa hapo walie wai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIMSHANA umeona lilaleta ujuha wakeSio utekwe na vijana kama wa kiluvya halafu uanze kulia
Inatakiwa hapo walie wai
Nimekufaham, thanksYaani ukitaka bastola au bunduki SI inatakiwa vibali ila Ile unanunua bila vibali yaani free... Nadhani sijaandika vizuri ila Nina maana hiyo
Inatakiwa uwe na kubali cha kumiliki silaha ya motoYaani ukitaka bastola au bunduki SI inatakiwa vibali ila Ile unanunua bila vibali yaani free... Nadhani sijaandika vizuri ila Nina maana hiyo
Pepper spray ni silaha ya moto?🙄😳😳... Kama Iko category hiyo basi Tanzania tuko nyuma sana maana hizo ni za kina mama kujilinda na wabakaji na vibaka huko mbele....Inatakiwa uwe na kubali cha kumiliki silaha ya moto
Kwaiyo laZima upate kibali ndo ununue
Ni free mwaya.Inauzwa free? Au umekusudia inatolewa free?
Zipo kwa waluonunua nje ya nchi.. Lakini kwa wauzaji rasmi hakunaHivi hapa tanzania hamna zile pepper spray?
huwa naona kwenye movie wadada zinawasaidia sana atleast kupata muda wa kwenda mbio anaopokuwa attacked na adui
Hawana Nilikuwa pale juzi tuu ila wana zile za kupiga shotiHata Ile pepper spray nadhani inauzwa free kwenye maduka ya Tanganyika arms.... Watu wawe nayo Ile unampulizia TU machoni...
Pepper spray unaagiza nje hata South Africa.Hivi hapa tanzania hamna zile pepper spray?
huwa naona kwenye movie wadada zinawasaidia sana atleast kupata muda wa kwenda mbio anaopokuwa attacked na adui
Hata hizo zinaweza kufaa maana kwanza ni rahisi kubeba....Hawana Nilikuwa pale juzi tuu ila wana zile za kupiga shoti
Wana hizi zinaitwa Teaser bei yake laki 2 zina uwezo wa kuruka na zinaweza hata kuua mawasiliano yao haya hapa 0222131484o zinaweza kufaa maana kwanza ni rahisi kubeba....![]()
Angel Nylon umeona hii??Wana hizi zinaitwa Teaser bei yake laki 2 zina uwezo wa kuruka na zinaweza hata kuua mawasiliano yao haya hapa 0222131484
Kama komando kipensi, wasiojulikana wanatembea na chamoto. Ukitoa kisu tu umerahisishia kazi utaitwa jambazi sugu wanamaliza shoo.
Tampelekea moja my heart bit Angel Nylon