little master
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 1,870
- 3,589
Mwili wako vile vile ni silaha nadhani unanielewa nini nimemaanisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teaser ndio mpango mzima inapiga mpaka metre 5+
Mwili wako vile vile ni silaha nadhani unanielewa nini nimemaanisha.
Tatizo ukiwa na multiple targetTeaser ndio mpango mzima inapiga mpaka metre 5+
Ukimaliza hizi shot tatu bado atakaye kusogelea atakiona cha Mtema kumi maana teaser yenyewe nayo inapiga shoti.. Kikubwa tu asikuguseTatizo ukiwa na multiple target
Nilishakatza kupiganaKomwe langu ni silaha tosha.
Nikimpiga mtu kichwa lazima afumuke maninaa.
Famchezo!
Cc: Mbaga Jr Poor Brain Extrovert Kalpana
Umenikumbusha kesho nimtafute masaai muuza mishale, maana mishale yangu alitokomea nayo mwizi wangu wa taa za gazi niliyemdunga siku moja usikuSisi watu wa Kanda ya Ziwa, hili somo tunalifundishwa tangu utotoni.
Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu!
Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami na kushinda ni lazima.
Sio kidume unatekwa, na watekaji wanatoka wananukia pafyumu. Lazima upasue mtu, umwage utumbo, ukate shingo. Mimi binafsi sijabahatika kumiliki silaha ya moto, lakini niko kwenye mchakato wa kuipata, iwe kihalali au kiharamu.
Kwa sasa, ninazo silaha za kutosha — majambia, mikuki, marungu, visu, na kadhalika. Popote nilipo, lazima beto iwe kiuononi kwenye mkanda na haikosagi. Huu utekaji umekuwa kama fashion siku hizi, kwa hiyo nawatahadharisha watekaji. Wakija kuniteka, lazima mmoja wao aimbe parapanda.
Mwanaume, popote ulipo, uko vitani, na silaha ni lazima kwa mwanajeshi.
Uwiiihh nisamehe baby sirudiii tenaaaNilishakatza kupigana
Unawachanganyia na Kapoeira na utilio wa BudokanKama komando kipensi, wasiojulikana wanatembea na chamoto. Ukitoa kisu tu umerahisishia kazi utaitwa jambazi sugu wanamaliza shoo.
Hawa ni kucheza nao aikido au jiu jitsu
Empty Hand Skills, wengi hulitamka lile neno kwa lugha ya Kijapan bila kujua kuwa lina maana hiiMwili wako vile vile ni silaha nadhani unanielewa nini nimemaanisha.
Ngoja nikachungulie upinde wanguSisi watu wa Kanda ya Ziwa, hili somo tunalifundishwa tangu utotoni.
Unatembea na simu nne, wallet, kipegi, pafyumu, kondomu — lakini huna hata kisu!
Kwa mwanaume, silaha ni lazima. Kujihami na kushinda ni lazima.
Sio kidume unatekwa, na watekaji wanatoka wananukia pafyumu. Lazima upasue mtu, umwage utumbo, ukate shingo. Mimi binafsi sijabahatika kumiliki silaha ya moto, lakini niko kwenye mchakato wa kuipata, iwe kihalali au kiharamu.
Kwa sasa, ninazo silaha za kutosha — majambia, mikuki, marungu, visu, na kadhalika. Popote nilipo, lazima beto iwe kiuononi kwenye mkanda na haikosagi. Huu utekaji umekuwa kama fashion siku hizi, kwa hiyo nawatahadharisha watekaji. Wakija kuniteka, lazima mmoja wao aimbe parapanda.
Mwanaume, popote ulipo, uko vitani, na silaha ni lazima kwa mwanajeshi.
Mzee upo vizuri SanaNimeacha Hirizi siku hizi natumia hiiView attachment 3151319
Sahihi! Kuna ndugu yetu amejenga huko Mbweni ana siraha, wamevamiwa na majambazi siraha wamechukua ameshindwa hata kuifyatua.Kumiliki silaha ni jambo la kwanza na kuweza kuitumia kwa umahiri na kwa usahihi ni jambo la pili.. Kwakuwa usipokuwa makini silaha yako mwenyewe inaweza kutumika kutoa uhai wako
Kiwewe...😭Sahihi! Kuna ndugu yetu amejenga huko Mbweni ana siraha, wamevamiwa na majambazi siraha wamechukua ameshindwa hata kuifyatua.
Ha ha ha😂Kombora la roketi ya masafa marefu, hii ndio silaha sasa wasiojulikana wakifuata watajikuta wanapigana wenyewe kwa wenyewe mpaka wanafloti.
View attachment 3151579