Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

M
Mzee zaidi ya miaka 8,yupo kwenye makamera.
Alafu sijui anajishughulisha na nini?

Huyu yeye sasa hivi achane na makamera asimame kama mwanaume,hana uzee wa kusema hawezi kufanya kazi ,kama ikiwezekana apotezee awalee watoto wake aliowapata uzeeni,kama kweli kaonewa malipo hapa hapa.Ila kama kweli hakuyabeba majukumu basi anacho kipitia anastahili.

Au nae alikiwa Mario kama mzee Shamte,manake kwenye mahojiano ya SnS alisema,haiwezekani watu wasiojulikana wapate kingi kuliko yeye,kama ile nafasi ya Shamte bado anaitaka.
 
Namlaumu mama Nasib kwa kumkubalia Abdul kuja kumnanihino nyumbani kwao. Huo ni ujinga na dharau kubwa sana kwao kama familia na hata kwa huyo Abdul japo hadi leo haoni kama hilo ni tatizo
Sema kumtombea kwao
Huyo mama ni muhuni kwa nn alikubali kutombewa kwao Kama sio umalaya wake tuu
 
Hii yote inaletwa na pesa. Domo angekuwa pangu pakavu kama mimi hapa. mzee Abdul asingehangaika kumtafuta.😀
Alipoondoka hakuwahi wasliana na mtoto wala mama hadi aliposikia umaarufu ndio akajongea
Achilia mbali hayo mambo mengine Nampa mwanamke mwenzangu kwa kumlea mwanae hadi kumfikisha alipo
 
Sema kumtombea kwao
Huyo mama ni muhuni kwa nn alikubali kutombewa kwao Kama sio umalaya wake tuu
Huyo mwanaume aliyebeba rambo zake na kuhamia kwa wazazi gelofriend yeye tumwiteje🙄
 
Basi kama kuna single mama hapo karibu mwambie kuna single baba hapa pembeni anahitaji mfariji.
 
Mzee alifanya jambo la maana kutomlea huyo jamaa kwa sababu sio damu yake.
Mzee amezingua kujirudisha kipindi jamaa amekuwa maarufu anataka kula matunda ambayo alikataa kuhudumia.
(Ile familia nayo ina ujinga mwingi mambo mengine sio ya kuweka public wote hawana akili)
 
Heri uwe wa mwisho kuliko kufanya waliyofanya Abdul Jumaa
Nimewaachia Mambo yao lakini hii ni reality ya maisha yetu sisi watanzania...huku mtaani kwenye mahusiano ni vurugu mtindo mmoja
 
Walimvumilia muda mrefu na kumwomba sana aache kwenda kwenye media ila yeye akatumia Hilo jina kama fimbo kumchapa mama nasib na mwanae
Sasa mama kachoka utumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…