Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

Namlaumu mama Nasib kwa kumkubalia Abdul kuja kumnanihino nyumbani kwao. Huo ni ujinga na dharau kubwa sana kwao kama familia na hata kwa huyo Abdul japo hadi leo haoni kama hilo ni tatizo
Kumnanihino !!!

sema kumkaza nyumbani kwa wakwe zake MKUU..

Usimung'unye maneno.
 
Eli79 sasa kama Abdul alikua analala na mama nasib nyumbani kwa wazazi wake alipopata uchungu angebaki nyumbani na mamamkwe halafu majirani ndio wampeleke Amana!?

Mama Nasib kasema ni kweli alimpeleka hosp lakini hajawahi mlea nasib...... inaelekea mzee nae alikua analelewa tuu
Huyo mama mwehu ni wa kupuuzwa.

Alisema Mzee Abdul alimkuta akiwa na mimba ya miezi 6 lakini,
--Akakubali kulea mimba.
--akazaliwa mtoto akaitwa naseeb Abdul.
-- baada ya miaka 6 ya kuishi pamoja kama family,, mama diamond akarudi kwa Mzee Salum idd nyange..

Hyo ni baada ya ugomvi wa kurudi saa nane za usiku huku akiwa kalewa.

Iweje Mzee Abdul awe hajamlea diamond?
Hivi kipindi chote cha miaka 6 pamoja diamond alikuwa ananyonya? Au anakula nguvu za Mzee Abdul?

Huyo mama nikiangaliaga mdomo wake,,una jieleza yote ya sirini kwake.
 
Shujaa kwa wazinifu wenzie,,

Lakini kiuhalisia kazinguwa.

Haijalishi sisi tunamwonaje...... Watoto wake wanaelewa alikopita nae kuwafikisha walipo

Read my signature
 
Huyo mama mwehu ni wa kupuuzwa.

Alisema Mzee Abdul alimkuta akiwa na mimba ya miezi 6 lakini,
--Akakubali kulea mimba.
--akazaliwa mtoto akaitwa naseeb Abdul.
-- baada ya miaka 6 ya kuishi pamoja kama family,, mama diamond akarudi kwa Mzee Salum idd nyange..

Hyo ni baada ya ugomvi wa kurudi saa nane za usiku huku akiwa kalewa.

Iweje Mzee Abdul awe hajamlea diamond?
Hivi kipindi chote cha miaka 6 pamoja diamond alikuwa ananyonya? Au anakula nguvu za Mzee Abdul?

Huyo mama nikiangaliaga mdomo wake,,una jieleza yote ya sirini kwake.

Alikubali kulea wakati yeye mwenyewe alikua analelewa ukweni🙄🙄🙄

Wapi alitafuta geto lake akambeba gelofriend kuishi nae!? Yaani wewe unatumia nyumba ya ukweni, chakula cha ukweni, kitanda cha ukweni, shuka ya ukweni, choo cha ukweni na bado unmtumia binti yao hadi unapasua vyombo huku mahari hujalipa hata thumni halafu umesema umenyonwa!?

mwandende Hebu acha kutetea huu uzembe, kemea tabia mbovu hizi ili Kizazi kijacho wajue madhara ya mwanaume kutokujielewa.
 
Kwa hiyo yeye na mkwe wake asubuhi wanapanga foleni na mataulo yao wanaenda bafuni.

Alafu hata baba yake mama D naye anakosa,utamfugaje mtu ambaye hajatoa mahali kwa binti yako nyumbani kwako na hata kama angetoa mahali still haijakaa vizuri,mtoto wa kiume kukaa ukweni.
 
Alikubali kulea wakati yeye mwenyewe alikua analelewa ukweni[emoji849][emoji849][emoji849]

Wapi alitafuta geto lake akambeba gelofriend kuishi nae!? Yaani wewe unatumia nyumba ya ukweni, chakula cha ukweni, kitanda cha ukweni, shuka ya ukweni, choo cha ukweni na bado unmtumia binti yao hadi unapasua vyombo huku mahari hujalipa hata thumni halafu umesema umenyonwa!?

mwandende Hebu acha kutetea huu uzembe, kemea tabia mbovu hizi ili Kizazi kijacho wajue madhara ya mwanaume kutokujielewa.
Hivi hakuna mwanaume anayeishi ukweni lakini anafanya shughuli zake za kujiingizia kipato?
Na 90% ya vyombo vya ndani amenunuwa yeye?

Huyo mama ni muhuni wa tandale ,
,msitetete uzinzi.
 
Haijalishi sisi tunamwonaje...... Watoto wake wanaelewa alikopita nae kuwafikisha walipo

Read my signature
Ni kweli kabisa,,
Kawafikisha walipo,,,,hadi muda huu diamond yupo njia panda hajuwi baba yake halisi ni yupi?
 
Ni kweli kabisa,,
Kawafikisha walipo,,,,hadi muda huu diamond yupo njia panda hajuwi baba yake halisi ni yupi?
Wewe ndio humjui baba yake halisi ila yeye na mama yake wanajua. Kwani kuna shida?
 
Kuna nyimbo ya professor j na stamina hakikaaa kakitoa katika wakati muafaka
 
Kwahyo Mama D unatushauri vipi sisi walokole wa kiume?

Anza na Mungu hutapungukiwa. Ukianza na Mungu mengine yote utafanya na Mungu. Ukianza na Mungu utakua na imani na utafata taratibu za imani yako na za jamii yako pia

Sio kwa walokole tuu Hii ni kwa imani zote
 
Mi navyoona mzee Abdul baba mzaz wa mond, sema wanamkataa ili asitunzwe Wala kupata kitu kwa mtoto star.
 
Back
Top Bottom