Mwanaume usikubali kuuza nafasi yako uliyopewa na Mungu kama kichwa cha familia, hata umpende mwanamke kiasi gani nafasi yako ndio heshma yako

Anza na Mungu hutapungukiwa. Ukianza na Mungu mengine yote utafanya na Mungu. Ukianza na Mungu utakua na imani na utafata taratibu za imani yako na za jamii yako pia

Sio kwa walokole tuu Hii ni kwa imani zote
Asante sana

Hallelujah
 
Mondi na mama yake lazma waonekane wapo sahihi sababu wana power....

Naona umeamua kumpa Abdul sapota😎😎 Kumbuka hata mambo yalipokua magumu Sandra hakumtelekeza mwanae ila Abdul alifanya hivyo na kurudi baada mtoto kuwa maarufu😎

Sijamsikia Abdul kwenda bakwata kutafuta suluhu na sababu ni kwamba hakusimama kwenye imani yake wakati anayofanya hayo yanayomgharimu sasa

Sijawahi msikia kwenda kutafuta suluhu ya huyo anayesema ni mwanae kwa familia ya Sandra, sababu ni kwamba hakufata taratibu za kifamilia hakuo, hakutoa mahari wala hakwenda kumkomboa mtoto zaidi alikua anadeal na media tuu

Sijamsikia kusema nilikua nalipa kodi ya pango kiasi hiki kwa landlord huyu kwaajili ya Sandra na mtoto

Sijamsikia Abdul kusema hizi hapa receipts nilizokua namlipia mwanangu ada ila nimemsikia akihadithia alivyouza deki akaenda kumflush Sandra mimba

Sasa wewe sapota nzuri ya kumpa ni kwenda kupima DNA kuprove anachosema kwamba ilipasuka nasib akapatikana ili arudishe heshma yake na mwanae
 
Yani huu utandawazi umekuja kufanya wanaume waone mwanamke haitaji kuhudumiwa😆😆jamani...

Wanawake kazi yetu ni kuwatii wanaume.
Wanaume kazi yao ni kutupenda 😄😄sasa hapo kwenye kutupenda,ndo kuna kodi,tuma na yakutolea,nywele zimefikumuka,birthdayz,simu mbovu,na mengineyo yafananayo na hayo hapo juu
 
Mama Nasib ataendelea kuwa shujaa na malikia kwa watoto wake
Baba mlezi alikimbia, sasa yeye mama.afanye nini nikuchukua majukumu , mambo yamekuwa mazuri anaibuka haà haa, shakushangaza licha yakukimbiwa lakini yeye alifunga mkanda, mpaka kumtoa mwanaye nashangaa matusi kwake, wamuulize kwanini baada ya kuondoka hakurudi kwa kwa ajili ya mtoto, apambane tu na hali yake!
 
Lakini alikuwa anajua si kwamba alifichwa ni mapenzi yake!
 
Wamuulize kwanini hakuwa na maisha yake akamchukua mkewe ? Unaishi vipi ukweni hata kama utawanunua misosi lakini patabaki ni ukweni tu.
 
Wamuulize kwanini hakuwa na maisha yake akamchukua mkewe ? Unaishi vipi ukweni hata kama utawanunua misosi lakini patabaki ni ukweni tu.
halafu utasikia kuna watu wanamtetea kwa nguvu kabisa hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] atakuwa anaitamani sana hiyo nafasi ya Shamte, miaka yote 8 sizani kama hata 40yrs alikuwa kafikisha sasa kutwa daa sijui hana ndugu wakumshauri!
 
Alipoondoka hakuwahi wasliana na mtoto wala mama hadi aliposikia umaarufu ndio akajongea
Achilia mbali hayo mambo mengine Nampa mwanamke mwenzangu kwa kumlea mwanae hadi kumfikisha alipo
Pongezi zake nyingi sana
 
Walimvumilia muda mrefu na kumwomba sana aache kwenda kwenye media ila yeye akatumia Hilo jina kama fimbo kumchapa mama nasib na mwanae
Sasa mama kachoka utumwa
Kayataka mwenyewe, anataka haki ambayo hakuitafuta
 
Mbona anasema alikuwa mpaka na magari kilimfanya nini asitafute chumba akaishi na mrembo Sandra? Hivi kuishi na mwanaume nyumbani kwenu unaionaje na huku ukiwa na ndugu zako? Kama alivyo ondoka angekaa huko huko kimya si alisusa!
 
Nyage Airlines
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…