chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Big Up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Formula ipo ndgMapenzi hayana Formula.
[emoji23][emoji23]Sisi tuliorogwa tunakomenti wapi..?
Hii kitu wanaume wengi hawajui. Nahisi pia malezi na kujifunza kupitia kwenye TV kuna fanya wanaume wawe weak sana kwa wanawake.Watu wengi hufikiri wanawake wanavutiwa na wanaume ambao ni nice, wenye mali, nyumba, magari, anayejali na vitu kama hivyo. Ukijaribu kumuuliza mwanamke mmoja mmoja ni aina gani ya mwanaume anamhitaji, asilimia kubwa watakuambia tunahitaji mwanaume ambaye ni nice, anayenipa pesa, anayetuma na ya kutolea, mwenye six packs n.k n.k
Wanaume wengi wamejikita kutaka kutimiza yale mwanamke anayoyataka ili waweze kuwavutia, kuna watu wanashinda gym ili kuwavutia wanawake, kuna watu wanatuma na ya kutolea ili wawavutie wanawake, kuna watu wanakubali kila mwanamke anachomwambia ili wawavutie wanawake lakini m
Pole mkuuNi stori ndefu binamu nitaileta kule jukwaa la stories of changes Kuna watu si watu ni manyawawa.
Alpha males, au players au jerks na majina mengine wanayoitwa wamefanikiwa kuwa hivyo walivyo kwa sababu wameweza kucontrol hisia zao.
Unajua ni kwanini wanaume wengi wanadate na wanamke ambao hawakuwapenda sana ila ikitokea kuna mwanamke amempenda sana anashindwa kumpata, ile treatment na attention wanayotoa kwa mwanamke anayempenda inakuwa imepitizia hadi mwanamke anaona amekutana na fala mwingine wa kumwendesha.
Ila kwa yule ambaye hakumpenda sana anamtreat tu kawaida maana si anajua potelea mbali hata akinikataa simpendi sana cha ajabu anashangaa mwanamke huyu ndo anamkubali kwa moyo wote. Mwishowe malalamiko yanakuwa mengi kwanini mimi niwapate tu ambao siwapendi sana na sisi wanaume nhatujuagi kukataa hivyo unaamua kustay naye hivyohivyo kibishi.
Nice guys masturbate...real men get laidNice guys siku zote huishia pabaya
We are deeply affected na social conditioning...Watu wengi hawajazoea haya maisha wanaweza wakakuona unapingana na haki za wanawake lakini kumbe ni utaratibu uliokuwepo tangu mwanzo wa maisha ya mwanadamu, mwanaume kama kiongozi kama mtawala na ulikuwepo hasa nyakati za wafalme.
OYAAAAAHaya mambo ni rahisi sana kuyaongelea hapa lakini ukiwa kwenye 18 za mtu huwa inabaki kuwa siri yako na moyo wako, mapenzi siku zote waachowe wapendanao
Kusema na ukweli Wanaume tutafika kwaheaven tumechoka sanaWatu wengi hufikiri wanawake wanavutiwa na wanaume ambao ni nice, wenye mali, nyumba, magari, anayejali na vitu kama hivyo. Ukijaribu kumuuliza mwanamke mmoja mmoja ni aina gani ya mwanaume anamhitaji, asilimia kubwa watakuambia tunahitaji mwanaume ambaye ni nice, anayenipa pesa, anayetuma na ya kutolea, mwenye six packs n.k n.k
Wanaume wengi wamejikita kutaka kutimiza yale mwanamke anayoyataka ili waweze kuwavutia, kuna watu wanashinda gym ili kuwavutia wanawake, kuna watu wanatuma na ya kutolea ili wawavutie wanawake, kuna watu wanakubali kila mwanamke anachomwambia ili wawavutie wanawake lakini mwisho wake watu hawahawa wanatendwa na wanabaki wakijiuliza, mbona nilikuwa najitoa, natuma na ya kutolea na bado nimekuwa dumped tena
Hahahahahhhaaaaa... duh!Alpha males, au players au jerks na majina mengine wanayoitwa wamefanikiwa kuwa hivyo walivyo kwa sababu wameweza kucontrol hisia zao.
Unajua ni kwanini wanaume wengi wanadate na wanamke ambao hawakuwapenda sana ila ikitokea kuna mwanamke amempenda sana anashindwa kumpata, ile treatment na attention wanayotoa kwa mwanamke anayempenda inakuwa imepitizia hadi mwanamke anaona amekutana na fala mwingine wa kumwendesha.
Ila kwa yule ambaye hakumpenda sana anamtreat tu kawaida maana si anajua potelea mbali hata akinikataa simpendi sana cha ajabu anashangaa mwanamke huyu ndo anamkubali kwa moyo wote. Mwishowe malalamiko yanakuwa mengi kwanini mimi niwapate tu ambao siwapendi sana na sisi wanaume hatujuagi kukataa hivyo unaamua kustay naye hivyohivyo kibishi.
Kuna wakati ukijifanya kama humuhitaji na yeye anakupotezea mazima mazima sasa unabaki unaumia wewe kidume.Kua kama vile haumhitaji, ficha hisia.
Akienda unachukua mwingine, kwani warembo wameisha?Kuna wakati ukijifanya kama humuhitaji na yeye anakupotezea mazima mazima sasa unabaki unaumia wewe kidume.
Utafanyaje endapo unampenda mtu ambaye hujazoeana nae,ukisema umpotezee hatojua kamwe kama unamtaka,mtu kama huyo unatuamia njia gani kumvuta ?