Mwanaume usitumie hisia kwa mwanamke, tumia akili

Mwanaume usitumie hisia kwa mwanamke, tumia akili

Nope sio kuwekeza, wanaowekeza ndo huumia. Kama mimi hua nasaidia kama vile ambavyo ningemsaidia rafiki yangu bila kutarajia chochote toka kwake.

Kama ni kiasi kikubwa ambacho labda ni hadi nimkopee hapo siwezi kumpa ntamwambia sina.

Vipi na yeye anakusaidia ukikwama? Au yeye ni mtu wa kupokea tu
 
Wewe utakuwa ni mdau wa clip za Far From Average maana umepita mule mule. Anyway dawa ya mwanamke ni kutojishughulisha naye wewe fanya mambo yako ikiwa ni pamoja na kumtaka, ila usijishughulishe naye mchukulie poa tu, mpe respect yake alafu fanya mambo yako.

Kubwa kuliko yote usifuate miiko ya kwenye jamii wewe fuata mambo yako tu. Yaani kimsingi kuwa wewe.
Mwanamke ni Kama kivuli.Ukikifuata kinakukimbia na ukikimbia kinakufuata. Nakubaliana na ushauri wa mtoa Post.
 
Uki be a man wewe inatosha waache wenzio wazame bhn..
 
Narudia tena, user guide (instruction manual) ya mahusiano bado haijachapishwa, haipo. Wakati tunaendelea kuisubiria, hizi habari ziendelee kutengeneza njia...
Hata hivyo yupo sahihi kwa jambo moja la msingi: mwanamke hawezi kuvutiwa kimapenzi (sexual attraction) na mwanaume anayejiweka too cheap, too much available. Hiyo kanuni ni proven.
 
Hata hivyo yupo sahihi kwa jambo moja la msingi: mwanamke hawezi kuvutiwa kimapenzi (sexual attraction) na mwanaume anayejiweka too cheap, too much available. Hiyo kanuni ni proven.

Jambo kuwa sawa kwa baadhi haimaanishi ipo hivyo kwa wote.
Kwa ufupi ni kwamba, hakuna kanuni moja inayotatua au kutosheleza hali zote.

Wapo wanaume cheap ( japo sijui mnamaanisha nini hasa) wanaopoa wanawake na mambo yanaenda. Haya mambo hayatabiriki.
 
Vipi na yeye anakusaidia ukikwama? Au yeye ni mtu wa kupokea tu
Kama nilivosema awali mkuu, simsaidii ili na yeye anisaidie ila namsaidia kwakua icho kitu nna uwezo nacho na nikimoa sitapungukiwa kitu na sitayumba kwenye mambo yangu.

Mwanaume kaumbwa kutafuta mzebaba yani nikwame nimwambie manzi anisaidie na najua hawezi nipa ela yake huwa wagumu kutoa pesa zao kwanini nihangaike nae na nna wana kibao wa kunipiga tafu. Yeye anipe mbunye tu.
 
Mkuu i gree with you 100% [emoji110]
 
Yaani usipokuwa na hela, unakuwa mwandishi mzuri sana wa riwaya za mapenzi....😁😁

Tukubali tu mambo yamebadilika, ulimbo wa kizungu ndio mpango mzima kwa sasa...
 
Yaani usipokuwa na hela, unakuwa mwandishi mzuri sana wa riwaya za mapenzi....[emoji16][emoji16]

Tukubali tu mambo yamebadilika, ulimbo wa kizungu ndio mpango mzima kwa sasa...
Hujui tu, hata wenye hela wanateswa sana na mapenzi.
 
Madhara ya kuwa nice haya.
Screenshot_20211111-090031_1636610667535.jpeg
 
Back
Top Bottom