Mwanaume usitumie hisia kwa mwanamke, tumia akili

Mwanaume usitumie hisia kwa mwanamke, tumia akili

Na Asilimia Kubwa ya Wanaume walioko kwenye Ndoa Wameoa Wanawake Wasiowapenda.. yaani wale Waliowaona siyo type Yao, wale Waliowaona ni Wa kuchapa na kusepa ndo wameishia kuwaoa na Kuwa Mama wa Watoto wao.
Sasa kama waliowapenda wamewatema kwa uzembe wao, inabidi wachukue huyohuyo wasiyempenda.
 
Mengi uloyaandika ni eidha umeandika baada ya kutendwa au iahu inayofanana na hiyo.

Nachoamini mimi ni kua usimhudumie mwanamke wala kujitoa sana kwake kiasi kwamba ukavunja utu wako, ama lah ukafanya jambo ambalo ikitokea umeachwa/kuachana litakuumiza sana. Yaani kwa kifupi usifanye mambo ambayo baadae yanaweza kukuumiza.

Kua nice guy lakini sio saana, kua mkali kiasi, jali kiasi ivo tu mbona utaenjoy sana. I
 
Mengi uloyaandika ni eidha umeandika baada ya kutendwa au iahu inayofanana na hiyo.

Nachoamini mimi ni kua usimhudumie mwanamke wala kujitoa sana kwake kiasi kwamba ukavunja utu wako, ama lah ukafanya jambo ambalo ikitokea umeachwa/kuachana litakuumiza sana. Yaani kwa kifupi usifanye mambo ambayo baadae yanaweza kukuumiza.

Kua nice guy lakini sio saana, kua mkali kiasi, jali kiasi ivo tu mbona utaenjoy sana. I

Usijaribu kuwa nice hata mara moja
 
Vishu Mtata ngoja nikupe mfano kidogo. Tuachane na sekta hii ya mahusiano hata kwenye maisha usijaribu kuwa nice hata mara moja watu watakutumia kwa faida zao na wewe utabaki mtupu.

Nicola Tesla, my favorite scientist, huyu jamaa alinisikitisha kitu kimoja, ni kweli alikuwa anajua mambo mengi na amegundua mambo mengi na mchango wake tunauona na watu wanaofuata njia zake hata sasa bado wanafanikiwa mfano Elon Musk na magari yake ya Tesla amefanikiwa ila zilikuwa ideas za jamaa.

Na kipindi cha uhai wa Nicola Tesla alinufaisha watu wengi wakawa mabillionaire, ila yeye kwa sababu alikuwa nice alikufa mtupu, hakufanya chochote cha maendeleo yake na alifia hotelini, unaweza kuona madhara ya kuwa nice.
 
Back
Top Bottom