Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

Mwanaume wa kiislamu aliye tayari kuwa rafiki, mchumba hatimaye mume

bulhat

New Member
Joined
Feb 15, 2023
Posts
1
Reaction score
28
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sio mweupe sana lakini pia sio mzuri sana wa kawaida TU
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
[emoji848][emoji848]umri daaah unaninyima nusra
 
Wee ndio mke sasa ...ningekuwa dini yako ningekuja pm.
Aaliyyah unaona wenzio wanajisalimisha mapema. Shauri yako
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sio mweupe sana lakini pia sio mzuri sana wa kawaida TU
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
 
Kwa kweli dada umejieleza vizuri sana, na huna complications nyingi. Nakuombea upate mume wa matarajio yako. Ningekuwa na kazi ya kueleweka ningekuoa.

NB:
Ungeambatisha na kapicha kako maana kwa maelezo yako huwezi kuwa ovyo.
 
Kwa kweli dada umejieleza vizuri sana, na huna complications nyingi. Nakuombea upate mume wa matarajio yako. Ningekuwa na kazi ya kueleweka ningekuoa.

NB:
Ungeambatisha na kapicha kako maana kwa maelezo yako huwezi kuwa ovyo.
Ah kazi tena mwanawane inakuwaje...njoo nikupe bajaj na boxer mkaanze maisha. Vijana kama nyie mnaotaka kuikimbia zinaa inabidi tuwawezeshe
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sio mweupe sana lakini pia sio mzuri sana wa kawaida TU
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Unaposema wewe siyo mweupe sana, lakini pia siyo mzuri sana wa kawaida tu! Unamaanisha nini? Maa a kama ni uzuri wako, atauona huyo mume wako mtarajiwa!

Inakuwaje unajishusha thamani?

Anyway, mimi sina sifa. Nilikuwa najaribu tu kukuweka sawa. Jiamini wewe ni mzuri. Maana hakuna mtu mbaya hapa duniani.
 
Asalam aleykum

Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena

Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji

Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi

Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sio mweupe sana lakini pia sio mzuri sana wa kawaida TU
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia



Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem
Maeneo ya kiunoni chini mgongo unafananaje?
 
Back
Top Bottom