Nakwambia kweli....Wee usiniambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakwambia kweli....Wee usiniambie
Naiwe kheri sawa, lakini kumuita mrembo huoni kama unamdanganya wakati yeye amesema sio mrembo...🙄Ikawe kheri mrembo
Haaa haaa haaa asante mkuu, ngoja nimuulize mrembo kama atakubali.Ah kazi tena mwanawane inakuwaje...njoo nikupe bajaj na boxer mkaanze maisha. Vijana kama nyie mnaotaka kuikimbia zinaa inabidi tuwawezeshe
Barikiwa sana mkuuNami ntachangia panapo majaaliwa.
Fanya fasta kabla sijahonga kwa mchepsHaaa haaa haaa asante mkuu, ngoja nimuulize mrembo kama atakubali.
Sio kweliUsijichanganye ukapata mwanamke ama mwanaume wa kufanya nae maisha kupitia mitandaoni majuto yake ni makubwa sana. Bora upate mwenza kupitia njia mbadala kama kwenye msiba, kwenye vyombo vya usafiri wa umma ama kwenye vilabu vya Wanzuki na Kangara ama kwenye nyumba za ibada msikitini, kanisa la RC, Sabato, anglicana na KKKT. Onyo usije oa ama olewa na wapendwa toka kwa Mwingira, Kakobe, Gwajima, Lusekelo, Kuhani Mussa, Mwamposa na majambazi wengine wanaoibia watu kupitia haya makanisa ya mabati.
Mkuu umelewa au, hebu rudia kusoma comnent yako na kisha uandike tena.Hakuna mke hapo, mbaguaji ataleta shida kwa watoto kipindi wanataka kuoa/kuolewa na dini tofauti
Dah umri tu umenikosesha mkeAsalam aleykum
Nimekuwa single kwa mda mrefu nimeona sasa ni muda sahihi kuwa na familia Sihitaji Mtu wa kusumbuana nae tena
Nahitaji mwanaume wa kuanzisha nae familia mwenye uhitaji navigezo ninavyohitaji naamini Kuna wanaume wema wenye uhitaji
Sifa za mwanaume.
-Muislam awe anafanya ibada kama hafanyi awe tayari kufanya ibada
-miaka 31 Hadi 35
-mwanaume anaejua na anauishi uanaume wake
-awe na utayari wa kuwa na familia
-awe na shughuli halali akiwa muajiriwa itapendeza zaidi
Sifa zangu
-Mjasiriàmali pia elimu kidato cha nne
-miaka 27 mwaka huu Dec natimiza 28
-ninafanya ibada
-sinamtoto
-sijawahi kuolewa pia
Nyongeza
Nahitaji Mtu serious na mwenye uelewa kuwa mume ni nataka kuwa mke mzuri na mwema na mama mzuri wa watoto wangu tuishi wa kuzingatia wajibu wa Kila mmoja kwa mwenzie
Nawakaribisha PM wenye vigezo kama hauna naomba usije
Nawatakia Ramadhani kareem